Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Timu kubwa ile ujue?Wanavyodhani.๐๐๐๐Utopolo watafutiwe Super Ligi Dubai
Motsope adanganywe na "Babra"?Kweli?Msiwe mnatunga ujingaujinga.Losers!MOTSOPE alidanganywa na BABRA kuwa Simba ndio timu kubwa Tanzania na akaingia kingi, Sasa anaonja aibu baada ya kuona performance na nyomi la wananchi wenye mzuka kwenye mechi za KIVUMBI na JASHO na Paredi za ubingwa
Na huyo Motsope naye hakuwa anaangalia mitandao? Mahudhurio ya hao Simba?MOTSOPE alidanganywa na BABRA kuwa Simba ndio timu kubwa Tanzania na akaingia kingi, Sasa anaonja aibu baada ya kuona performance na nyomi la wananchi wenye mzuka kwenye mechi za KIVUMBI na JASHO na Paredi za ubingwa
iyo timu uwenda itakua USM Alger bingwa wa CAF shirikisho.Kwa msiojua ni kwamba kutakua na timu moja mualikwa ili kuvutia wadhamini..na hapo kolowizards ndipo mtakapolia kilio Cha gubu
Ndio maana dp world wanaitaka Tanganyika maana badala ya kujadili Hoja iliyoko mezani watu wameanza kujadili yanga haipo mara ni timu ndogo.
yanga atavutia mdhamini gani???Kwa msiojua ni kwamba kutakua na timu moja mualikwa ili kuvutia wadhamini..na hapo kolowizards ndipo mtakapolia kilio Cha gubu
Hiyo habari ni ya ukweliKuna habari niliwahi sikia siku za nyuma inasema mwana fa kama waziri kaenda kwa motsepe kuiombea yanga nafasi kwenye michuano hiyo. Kama ni kweli ile habari basi inadhirisha tulivyo na viongozi wabovu.
ukiona mtu anatoa maelezo mengi jua ni MUONGO na anataka watu wauamini uongo wake.Haya timu kubwa mbumbumbu fc isiyo na makombe tumewasikia.
Ila Yanga ni timu mdogo yenye makombe yote ya ndani na wachezaji wanne wa kikosi Cha kwanza Taifa Stars Nondo, Bacca, Mudathir รฑa Job, Simba timu kubwa duniani ina mmoja Kibu tu anaeaรฑza Stars! Huko benchi kumejaa Yanga tu. Yule mpemba Fei angetulia Yanga angeongeza idadi wakawa 5 na Kibu angeanzia benchi huko Taifa Stars ingekuwa Yanga 5 - Simba 0! Vijana wa Utopoloni wanaenda na mwewe kukiwasha Afcon hapo vipi Makolo toeni comments!
Tunaamini Fei atajifua na kurudisha kiwango chake na kumaliza kazi ya kuondoa magalasa ya Makolo fc Taifa Stars wametufelisha sana!
Muda SI mrefu TAIFA LINAENDA KUAIBIKA...Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi mwezi Oktoba mwaka huu na kuongeza kwamba kutakuwa na jina jipya kwa ajili ya michuano hiyo ili kuvutia wadhamini zaidi.
Ikiumbukwe Mnamo Novemba 29, 2019, CAF ilitangaza rasmi kuanzishwa kwa African Super League ikiwa na lengo la kuongeza mapato makubwa ya kifedha yanayotarajiwa kuzidi dola milioni 100 ambazo zitatumika kuboresha miundombinu na kukuza mchezo huo barani Afrika.
Akizungumzia sababu za michuano hiyo kubadilishwa jina Motsepe amesema baadhi ya Wadhamini wakubwa wamesema historia ya Super League barani Ulaya haikuwa nzuri na kubainisha kuwa jina Super lina maana hasi kwenye soka.
โTunaweza kubadili jina, lakini kitakachofanyika Oktoba ni uzinduzi tu huku tukiendelea kutumia jina la 'African Super League' mpaka pale tutakapolinadiliโ
Awali michuano hiyo ilipangwa kuhusisha timu 24 katika makundi ya timu nane lakini katika uzinduzi Super League itaanza kwa kundi moja la timu 8 ambazo ni Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini), Al Ahly (Misri), Petro de Luanda (Angola), TP. Mazembe (DR Congo), Horoya (Guinea), Wydad Atheltic Club (Morocco), Simba SC (Tanzania) na Esperance de Tunis (Tunisia).
CAF ilitangaza kuwa mshindi wa michuano hiyo atapata kitita cha dola milioni 11.5 huku kila timu shiriki itatia kibindoni kitita cha dola milioni 2.5.
USM iliyobeba kombe haipo, ndiyo ije kuwa mshindi wa piliLakini na Yanga si ipo? Imefika Fainali Shirikisho. Mnawezaje kuiacha? Au fitna za TFF?
Najua ni Uzi wa michezo ila mjadalah unakuwa wa blah blah kuibeza yanga badala ya kujadili mashindano yenyeweHuu Uzi wa michezo
Imagine team imewazidi Kila kitu misimu miwili mfululizo wao bado wanaijadili badala ya kujadili wanaenda kunufaika vipi na shindanoWanaiota Yanga Kila uchwao
Sawa..ila hii uhurumoja hii mhhhNajua ni Uzi wa michezo ila mjadalah unakuwa wa blah blah kuibeza yanga badala ya kujadili mashindano yenyewe
Wataongezea tu.USM iliyobeba kombe haipo, ndiyo ije kuwa mshindi wa pili