..nadhani watalii wengi wanapenda kupanda mlima na siyo kuuona tu.
..pia kuna eneo la kusini mwa Tanzania ambalo vivutio vyake vya utalii havijatangazwa vya kutosha.
..tuache kufikiria Norther Circuit[Kilimanjaro,Serengeti,Ngorongoro,Manyara], tuitangaze Southern na Western Circuits ambako kuna Selous,Katavi,Gombe,Mikumi,Saadani, bila kusahau MAFIA.
..binafsi nadhani tukitangaza vivutio vya Tanzania, na Kenya wakatangaza vya kwao, nina hakika mtalii makini atachagua kutembelea Tanzania.
..tatizo letu hatujitangazi vya kutosha.
NB:
..unaweza hata kuchombeza kwamba Kenya ni more expensive wakati wana vivutio kidogo.