Afrika: Kabila la Mangbetu kuna baadhi ya mila na desturi tuachane nayo ni ukatili kwa watoto

Afrika: Kabila la Mangbetu kuna baadhi ya mila na desturi tuachane nayo ni ukatili kwa watoto

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
1,328
Reaction score
3,718
Mangbetu ni watu kutoka Central Afrika wana ishi Kusini mwa Zande ndani ya kaskazini mashariki nchini congo.

Hili kabila linajikita na kutanua na kurefusha vichwa vya watoto wao, kama njia moja wapo ya kuabudu miungu yao.

Wana amini kumfanyia head elongation mtoto ni ishara ya urembo na kuwa na akili na maalifa kwa watoto wao.

Kiufupi hacheni Mila na desturi kandamizi kwa watoto, haikubaliki kubana kichwa cha mtoto kiasi ambacho hata fuvu la kichwa linaweza kupasuka.

Watoto wanaweza akapata kiwewe au utindio wa ubongo uwo ni UKATILI wa kijinsia haikubaliki.



IMG_20240325_174840.jpg

IMG_20240325_174843.jpg
IMG_20240325_174923.jpg
IMG_20240325_174836.jpg



Chanzo creepy. org
 
Mangbetu ni watu kutoka central afrika wana ishi kusini mwa zande ndani ya kaskazini mashariki nchini congo.

Hili kabila linajikita na kutanua na kurefusha vichwa vya watoto wao, kama njia moja wapo ya kuabudu miungu yao.

Wana amini kumfanyia head elongation mtoto ni ishara ya urembo na kuwa na akili na maalifa kwa watoto wao.

Kiufupi hacheni Mila na desturi kandamizi kwa watoto, haikubaliki kubana kichwa cha mtoto kiasi ambacho hata fuvu la kichwa linaweza kupasuka.

Watoto wanaweza akapata kiwewe au utindio wa ubongo uwo ni UKATILI wa kijinsia haikubaliki.



View attachment 2944440
View attachment 2944442View attachment 2944443View attachment 2944445


Chanzo creepy. org
"Look at their mode of life and their lifestyle in general, you can observe that Blacks are born with the situation like an half-mad mentality and mindsets."
Jan Smuts, the first Prime Minister of Union of South Africa during the Apartheid era.
 
Hizi picha zinaonekana ni za miaka ya nyuma

Hadi wa leo kuna sehemu yoyote Afrika nyonyo zinaachwa kishamba hivyo?
 
Africa is a Trend setter when it comes to Cultural Civilization.

Better recognise!
 
Creepy asee.. [emoji23][emoji23][emoji23] huo muda wa kuvutana vichwa wanautoa wapi..?
Mda ambao watoto walikichina wa darasa lapili wanatengeneza taa ndo mda ambao muafrika mwenye miaka 50 anamvuta mjukuu wake kichwa [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
 
Back
Top Bottom