Afrika kazi bado ipo, nimeshangaa kwamba Tanzania bado ni koloni la Ujerumani

Huyu alienda shuleni kusomea ujinga hakika.
Duh kweli kazi ipo?

Rufiji chanzo chake ni mikoa ya Morogoro
Mto Nile chanzo chake sio mto bali ni ziwa Victoria yaani ni sayari mbili tofauti,

Ulisoma Geography angalau ya darasa la nne kweli?
 
Mungiki anapomfundisha mtanzania history Unajua hata German ilitawala lini Tanganyika kweli? Kwa hii pumba maana yake hata waingereza walikua wakiitumia katiba ya mjerumani, kunywa gongo taratibu bila kusumbua watu
Acha kuhamisha goal post, ni nani hajui kwamba Ke, Ug na Tz(East Africa Protectorate) tulikuwa koloni la muingereza hizo enzi nchi za ukanda huu zilipopata uhuru? Nimetumia jina mkoloni 'in general' katiba mnayoitumia hadi sasa hivi iliandikwa kutumia version ya muingereza, 'Westminster model'. Imefanyiwa 'ammendments', marekebisho pekee yake, mara kadhaa. Sasa ni jukumu lako kutuonesha hiyo katiba mpya unayosema mliandika.
 
Unajua hata Selous ilipo? Unajua geography ya nchi yako kweli? Selous na mto Nile wapi na wapi? Utakua na vyeti kama unavyo at all

"Katika azimio lao vyama hivyo vimesema mradi huo mkubwa wa kuzalisha nishati ya umeme utavuruga mfumo wa mto mmojawapo mkubwa barani Afrika."

Uliza kiatu...


Cc: mahondaw
 
Saivi kumbe tuna katiba "tuliyoandika" kwa kutumia version? Mbona ulisema katiba tuliyonayo ni ya Germany?

Katiba yetu ni ya 1977,

Unajua azimio la Arusha wewe?
 
Duh kweli kazi ipo?

Rufiji chanzo chake ni mikoa ya Morogoro
Mto Nile chanzo chake sio mto bali ni ziwa Victoria yaani ni sayari mbili tofauti,

Ulisoma Geography angalau ya darasa la nne kweli?

"Katika azimio lao vyama hivyo vimesema mradi huo mkubwa wa kuzalisha nishati ya umeme utavuruga mfumo wa mto mmojawapo mkubwa barani Afrika."


Cc: mahondaw
 
Yani wewe umeelewa vizur kabisa,kwavile walitawala Tanganyika wanafaham vizur eneo husika hivyo wakatoa maoni yao baada ya kusikia mchakato wa Tanzania kujenga bwawa na kufua umeme,lakini kuna watu humu wanahisi icho kikao ndio kitatoa maamuzi ya either lijengwe au lisijengwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenu rufiji sehemu gani, mapaloni, mchukwi, nambunju mbwala, mkongo, kilimani, mkongo, huko sitigila...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Katika azimio lao vyama hivyo vimesema mradi huo mkubwa wa kuzalisha nishati ya umeme utavuruga mfumo wa mto mmojawapo mkubwa barani Afrika."


Cc: mahondaw
Kwa hiyo mto unaozalisha megawatts zaidi ya 2000 kwako ni mdogo? Ni wapi Nile umetajwa hapo? Rufiji ni kati ya mito mikubwa sana Africa.
 
Nimekusoma japo sijakuelewa vizur,wewe na Magu nani and akili za ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saivi kumbe tuna katiba "tuliyoandika" kwa kutumia version? Mbona ulisema katiba tuliyonayo ni ya Germany? Katiba yetu ni ya 1977, Unajua azimio la Arusha wewe?
Nimesema katiba ni ile ile mlioachiwa na mkoloni, ambaye ni muingereza. Sijataja mjerumani popote. Azimio la arusha ndio ilikuwa ni katiba mpya? [emoji15] Aisee, MK254 muelimishe huyu Madenge kuhusu nchi yake. Anajifanya kwamba hanielewi hata kidogo. [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…