Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Mtendaji wa Kampuni hiyo ambayo iliingia mkataba wa kufungasha, kuuza na kusambaza chanjo ya Johnson & Johnson barani Afrika amesema kuwa wapo mbioni kufunga kwa kuwa hawajapokea oda yoyote kwa kipindi kirefu
Vile vile Shirika la juu la afya ya umma barani Afrika limewataka wale wote wanaonunua chanjo ya #COVID-19 barani humo kuagiza katika kampuni ya Aspen Pharmacare ya Afrika Kusini, likisema soko ni muhimu katika kuendeleza utengenezaji wa chanjo katika bara hilo.
Aidha, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kilisema kinafanya kila linaloweza nyuma ya pazia kuzuia Aspen kutofunga kituo chake
.............................................
Africa’s top public health body has urged all those buying COVID-19 vaccines for the continent to place orders with South Africa’s Aspen Pharmacare, saying the market was key to developing vaccine manufacturing on the continent.
The Africa Centre for Disease Control and Prevention (CDC) said it was doing everything it could behind the scenes to prevent a situation where Aspen closes its facility due to a lack of orders.
Aspen has negotiated a licensing deal to package and sell Johnson & Johnson’s COVID-19 vaccine and distribute it across Africa.
This was hailed as a game-changing moment for an under-vaccinated continent frustrated by sluggish Western handouts, but Aspen’s COVID-19 vaccine plant now risks shutting down after receiving not a single order, a company executive said on Saturday.
“We have said from the very beginning of the conversation on local production that market, market, market is the key to ensuring that we have a thriving local production, manufacturing enterprise,” said Ahmed Ogwell Ouma, deputy director of the Africa CDC.
“Our message is that we need to have all those who are purchasing vaccines at the global level for African countries, they need to purchase those from African producers first,” he said at a regular media briefing.
Source: Aljazeera
Vile vile Shirika la juu la afya ya umma barani Afrika limewataka wale wote wanaonunua chanjo ya #COVID-19 barani humo kuagiza katika kampuni ya Aspen Pharmacare ya Afrika Kusini, likisema soko ni muhimu katika kuendeleza utengenezaji wa chanjo katika bara hilo.
Aidha, Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kilisema kinafanya kila linaloweza nyuma ya pazia kuzuia Aspen kutofunga kituo chake
.............................................
Africa’s top public health body has urged all those buying COVID-19 vaccines for the continent to place orders with South Africa’s Aspen Pharmacare, saying the market was key to developing vaccine manufacturing on the continent.
The Africa Centre for Disease Control and Prevention (CDC) said it was doing everything it could behind the scenes to prevent a situation where Aspen closes its facility due to a lack of orders.
Aspen has negotiated a licensing deal to package and sell Johnson & Johnson’s COVID-19 vaccine and distribute it across Africa.
This was hailed as a game-changing moment for an under-vaccinated continent frustrated by sluggish Western handouts, but Aspen’s COVID-19 vaccine plant now risks shutting down after receiving not a single order, a company executive said on Saturday.
“We have said from the very beginning of the conversation on local production that market, market, market is the key to ensuring that we have a thriving local production, manufacturing enterprise,” said Ahmed Ogwell Ouma, deputy director of the Africa CDC.
“Our message is that we need to have all those who are purchasing vaccines at the global level for African countries, they need to purchase those from African producers first,” he said at a regular media briefing.
Source: Aljazeera