Afrika Kusini: Mrembo mwenye asili ya Nigeria ajitoa kuwania Taji la Miss South Africa 2024

Afrika Kusini: Mrembo mwenye asili ya Nigeria ajitoa kuwania Taji la Miss South Africa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Baada ya Mashindano ya Urembo kuzua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni.

Baada taarifa hiyo leo Chidimma Adetshina ametoa taarifa kupitia mitandao yake ya Kijamii ya kujiondoa kutoka kwenye shindano hilo.

Ningependa kuanza kwa kuwashukuru wote ambao wamesimama nami tangu mwanzo wa safari yangu ya Miss South Africa. Nimefurahi sana kwa upendo na msaada wote niliopokea.

Kuwa sehemu ya shindano la Miss South Africa 2024 imekuwa safari ya kushangaza, hata hivyo, baada ya kutafakari kwa kina, nimefanya uamuzi mgumu wa kujiondoa kutoka kwenye shindano hili kwa ajili ya usalama na ustawi wa familia yangu na mimi mwenyewe. Kwa msaada wa shirika la Miss South Africa, naondoka nikiwa na moyo uliojaa shukrani kwa uzoefu huu wa kushangaza.

Soma Pia: Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Ningependa kuchukua fursa hii kuwatakia washiriki wenzangu wote kila la heri katika kipindi kilichosalia cha shindano hili. Yeyote atakayevikwa taji anatuwakilisha sote.

❤️❤️❤️
Chidimma Vanessa Onwe Adetshina

Snapinsta.app_453334611_1445805352806469_5493177581156866637_n_1080.jpg
 
IMG_2719.jpeg
IMG_2720.jpeg
Mgombea shindano la miss South Afrika2024 Chidimma Adetshina amejitoa katika mashindano hayo siku chache baada ya kua gumzo gumzo nchini humo kwa kudaiwa kwamba si raia wa Afrika kusini na kutakiwa kujiondoa. Adestina mwenye umri wa miaka 23 kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshukuru watu wake kwa kuunga mkono na kueleza kwamba uamuzi wake umetokana na kutaka usalama na ustawi wa familia yake​
Adestina ambaye ni mzaliwa wa Soweto Nchini Afrika kusini, baba yake akiwa ni Mmozambique na mama Mnigeria, aliingia kwenye top 30 ya mashindano hayo. Hata hivyk alikumbana na mjadala mkali kuhusu uraia wake baada ya idara ya mambo ya ndani kugundua udanganyifu uliofanywa na mama yake . Waziri wa mambo ya ndani alithibitisha
 
Mshiriki wa Shindano la Miss South Africa, Chidimma Adetshina (23) kwenye mashindano ya Miss South Africa amejiondoa kwenye mashindano hayo kwa ajili ya usalama wake na familia yake

1723191803912.png
Hii ni baada ya raia ya Africa Kusini kudai Mshiriki huyo ni Mnigeria na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni
Kupitia akaunti yake ya Instagram ametanguliza Shukrani kwa mashabiki wake pamoja na Waandaji wa Mashindano hayo kuwatakia mafanikio washiriki wengine akisema "Yeyote akatakaye shinda ametuwakilisha sote"

================For English Audience===================
The Miss South Africa beauty contestant at the centre of a nationality row has withdrawn from the competition, saying she took the decision for her and her family's safety and well-being.

Chidimma Adetshina's announcement on Instagram came a day after a preliminary investigation by the home affairs department found that her mother may have committed "identity theft" to become a South African national.

Ms Adetshina - a 23-year-old law student - said she was born in Soweto, a township next to Johannesburg, and grew up in Cape Town.

In media interviews she explained her father was Nigerian and her mother was a South African of Mozambican descent.

For weeks her roots have been at the centre of a social media storm, with some South Africans questioning whether she was a South African.

As the row escalated, the organisers of the Miss South Africa pageant asked the home affairs department to conduct an investigation ahead of the event on Saturday.

In a statement on Wednesday, the department said it had so far found that the identity of an "innocent" South African mother "may have been stolen" by Ms Adetshina's mother.

However, Ms Adetshina "could not have participated in the alleged unlawful actions of her mother as she was an infant at the time", the department said.

It added that it was conducting further investigations with the aim of pressing criminal charges, while also obtaining legal advice "on the implications of the alleged fraudulent activity on Adetshina's citizenship status".

In an Instagram post, Ms Adetshina did not respond to the findings, but said she had taken the "difficult decision" to withdraw from the competition.

She said she was grateful "for all the love and support" she had received, and wished the remaining contestants the best.

"Whoever wears the crown, represents us all," Ms Adetshina added.

SORCE: BBC

Soma zaidi Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Mnigeria kushiriki Mashindano ya Miss South Africa 2024
 
Baada ya Mashindano ya Urembo kuzua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa Kigeni.

Baada taarifa hiyo leo Chidimma Adetshina ametoa taarifa kupitia mitandao yake ya Kijamii ya kujiondoa kutoka kwenye shindano hilo.

Ningependa kuanza kwa kuwashukuru wote ambao wamesimama nami tangu mwanzo wa safari yangu ya Miss South Africa. Nimefurahi sana kwa upendo na msaada wote niliopokea.

Kuwa sehemu ya shindano la Miss South Africa 2024 imekuwa safari ya kushangaza, hata hivyo, baada ya kutafakari kwa kina, nimefanya uamuzi mgumu wa kujiondoa kutoka kwenye shindano hili kwa ajili ya usalama na ustawi wa familia yangu na mimi mwenyewe. Kwa msaada wa shirika la Miss South Africa, naondoka nikiwa na moyo uliojaa shukrani kwa uzoefu huu wa kushangaza.

Soma Pia: Afrika Kusini: Raia wakataa Mrembo mwenye asili ya Nigeria kuwania Miss South Africa

Ningependa kuchukua fursa hii kuwatakia washiriki wenzangu wote kila la heri katika kipindi kilichosalia cha shindano hili. Yeyote atakayevikwa taji anatuwakilisha sote.

❤️❤️❤️
Chidimma Vanessa Onwe Adetshina

Ni sawa na Tz tulivyomwandama yule sijui Miss Tanzania alie na asili ya Kihindi.
 
Wapo sahihi kabisa...tusitumie uafrika kama kigezo cha kufanya mambo ovyo ovyo
Huyo Dada both her parents sio wasouth africa hiko cha kwanza. Afu cha pili hajazaliwa South africa.
Cha tatu inaonekana mama yake alifake ID ya mwanae.

Sasa nashangaa wanaiingeria wanaaanza kuwashangaa awasouth africa kuhusu mzungu kushida. Wanasahau kuwa South africa kuna wazungu kibao.
 
Idara ya Mambo ya Ndani imetangaza kuwa itafuta hati za utambulisho na safari za aliyekuwa mshiriki wa Miss South Africa, Chidimma Adetshina, pamoja na mama yake mzaliwa wa Msumbiji. Wawili hao pia wanakabiliwa na mashtaka ya uwezekano wa udanganyifu.
1730268295443.png
Pia, Soma:
+
Afrika Kusini: Mrembo mwenye asili ya Nigeria ajitoa kuwania Taji la Miss South Africa 2024
+ Chidimma kushiriki Mashindano ya Miss Universe Nigeria 2024

Jumanne, idara hiyo iliiarifu kamati ya bunge ya masuala ya mambo ya ndani kuwa uchunguzi wao umekamilika na kuwasilishwa kwa kitengo cha upelelezi cha Hawks.

Kesi ya Adetshina ilifikishwa bungeni Agosti mwaka huu baada ya umma kuhoji asili yake na uraia wake alipofikia hatua ya fainali katika shindano la Miss South Africa.
1730268376137.png
 
Hivi ujue mi nnashindwa kuelewa kwamba ni kivipi u-miss bado 'is-a-thing'? Katika dunia ambayo; make up na plastic surgery zimetapakaa🤔.

Nahisi hata usmart sijui ujiniazi unaelekea kutokuwa kitu kihiiiiivyo pale Akili Mnemba itakapotapakaa.

Yas, unawezaje kumsema huyu ni mzuri kuliko huyu wakati wote tu wanaweza kuwa na muonekano sawa ndani ya masaa kadhaa, kila mmoja anaweza miliki midomo lips laini kwa appointment ya wiki kadhaa tu. Sasa u miss utamchagua nani umuache nani??
 
Back
Top Bottom