johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeshangaa sana akina Kagame kutumia mkutano wa China na Africa kumfanyia kampeni Raila Odinga kwenye kimyang'anyiro Cha mwenyekiti wa Kamisheni ya AU. Kwanini kampeni ifanyike China? 🐼
---------
- Rais Samia kuhutubia kwenye Mkutano wa FOCAC nchini China
---------
- Rais Samia kuhutubia kwenye Mkutano wa FOCAC nchini China