Africa Dini inalipa cos wengi wanaamini miujiza kwa mambo mengi.Wakati vijana milioni mbili wanahitimu masomo ya uhandisi kwa mwaka nchini China Afrika vijana milioni 10 wanakuwa wachungaji kila mwaka- Julius Malema
Ameongeza ;Wakati vijana milioni mbili wanahitimu masomo ya uhandisi kwa mwaka nchini China Afrika vijana milioni 10 wanakuwa wachungaji kila mwaka- Julius Malema
AhaaH...'Julius Malema sometimes huwa ni chenga na kama hazimtoshi hivi ila huwa namwelewa sana..Wakati vijana milioni mbili wanahitimu masomo ya uhandisi kwa mwaka nchini China, Afrika vijana milioni 10 wanakuwa wachungaji kila mwaka- Julius Malema
Ana ukweli flani unaochomaAhaaH...'Julius Malema sometimes huwa ni chenga na kama hazimtoshi hivi ila huwa namwelewa sana..
Ana very keen sense of logic...aliwahi waambia Affican Union maneno mbofumbofu sana eti kikao cha 'waiga wazungu kuvaa na kunywa'