Ila alimvisha pete ya pesa nyingi mnoA-Rod kufanya makosa sana kuona kampata wa kumpata. Asimlaumu mtu, kuna watu sio wa kutangaza ndoa, presha ya moyo lazima ihusike
Jlo anapenda wanaume hatari yaani kicheche sema kicheche msafi mwenye hela zake halafu pisi moja matata mi JLo namzimia Hadi Leo tangu enzi zake analiwa na PdidyNimeona watu wamemchamba sana jlo kuwa hawezi lala peke yake
Ila Arod gentleman kabisa angebaki nae tu lizuri kweli
Ila alimvisha pete ya pesa nyingi mno
Nashangaa imekuwaje na walikuwa wanaendana kweli
Dina, yule na wanawake wengine kama yeye, hata Bongo wapo. Ukitaka kuwafukuza tangaza ndoa. Mimi ni mwanaume lakini niko hivyo pía. Sitaki mtu wowote achukue uhuru wangu kwasababu ya ndoa. No I'm going to do that. No.
Alex Rodriguez Is Reportedly “Shocked” and “Saddened” by Jennifer Lopez and Ben Affleck’s Burgeoning Romance
Alyssa Bailey 18 hrs ago
View attachment 1782200
Ben Affleck Jlo
–J.Lo and A-Rod announced their breakup in mid-April after four years together.
This story originally appeared on ELLE USA
When Jennifer Lopez and Alex Rodriguez announced their breakup in mid-April, a source made it clear to E! that A-Rod didn’t see it as the end of them completely; he wanted to win his ex-fiancée back. But as Lopez’s relationship with her other ex-fiancé Ben Affleck heats back up, E! got details on how Rodriguez is taking it. He is definitely shaken by it, a source said.
“A-Rod is shocked that J.Lo has moved on,” the source explained. “He truly thought they would be able to make it work and reconnect. He has been reaching out to J.Lo trying to meet with her and she has been very short with him.”
© Getty Images
Overall, Rodriguez is “saddened” by Affleck and Lopez’s meet-ups (the two went on vacation alone last week), and he reached out to her to let her know “he’s upset.” This didn’t exactly move J.Lo though, who has no interest in reconciling with A-Rod. “She’s not interested in rekindling anything with A-Rod and is done,” the source said.
Lopez had longtime doubts about Rodriguez given his reputation as a past cheater. As a music source put it to People in April after their final breakup, “whether or not he has cheated doesn’t matter. She won’t tolerate the fear of it in the air between them.”
On the day they announced their split, E! got both Lopez and Rodriguez’s perspectives on it. Lopez ended things for good, the outlet made clear.
© Getty Images JLO Ben Affleck
“Once her trust is broken, there’s no turning around,” a source said of Lopez. “She feels good about her decision because she knows A-Rod will still be in her life, just in a different capacity.”
A second source close to Lopez revealed that Rodriguez hadn’t fully given up on them. “He is respecting her wishes right now, but has high hopes they will get back together,” the source said. “He’s doing anything in his power to make J.Lo happy.” Weeks later, Affleck came back in the picture publicly, so that effort was not enough.
labda amekomaa sasa kwenye swala zima la mahusiano!JLo ameingia kwenye mahusiano mapya mapema mno, she needed some time after her break up with A-Rod to heal. Asipokuwa makini ataumia tena.
Why the rush though??
I like her; I don't want to see her broken hearted again.
A-Rod bana...
maisha ya marekani ya ku move on yalivyokuwa faster bado anashangaa!
inaonekana alimboa kweli
Its too soon mkuu, i feel for A-Rod. JLo angezugazuga muda upite kidogo jamaa angekuwa poa.A-Rod bana...
maisha ya marekani ya ku move on yalivyokuwa faster bado anashangaa!
inaonekana alimboa kweli
Binafsi nadhani JLo sio mtu wa kutulia na mtu mmoja kwa muda mrefu. Ndoa haimfai, na hivi alishaolewa mara nne atakuwa anaona hakuna jipya kwenye ndoa.Ila alimvisha pete ya pesa nyingi mno
Nashangaa imekuwaje na walikuwa wanaendana kweli
Genye zake ziko karibu sana[emoji16]Huyu naona hawezi kuishi bila kuwa na mahusiano. She has never taken sometime to heal before jumping into another relationship. Yeye anakata mti na kupanda mti. Huenda ndo sababu inamfanya mahusiano yake yawe yanavunjika mara kwa mara
Yeah...ila wana watoto wawiliAcha warudiane. Ile couple ya Ben na yule Jennifer Garner ilipooza sana.
Kajala kwa JLo ni vidudu kabisa...JLo kubuhuKumbe na Marekani wana Kajala wao?
Mmmh...mbona lilimwagwa na huyo kahaba aliyemrudia sasa hivi[emoji16]Kama.unataka kujua kuwa Ben affleck Ni chick magnet
Tafuta muvi yake moja hivi ya Gone girl huyu Jamaa anaweza hata mtongoza hata Kamala Harris na asichomee
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Arod lizuri lakini ana kibamia...afu ana tuhuma za ugayNimeona watu wamemchamba sana jlo kuwa hawezi lala peke yake
Ila Arod gentleman kabisa angebaki nae tu lizuri kweli
JLo akichoka mb.oo yako hata kama mmefunga ndoa dk tano zilizopita, anakumwaga, then anaokota yeyote aliyeko machoni mwake analiendeleza[emoji848]Ila alimvisha pete ya pesa nyingi mno
Nashangaa imekuwaje na walikuwa wanaendana kweli
Huyo Ben hana mda waja niambia humu humu kwenye huu uzilabda amekomaa sasa kwenye swala zima la mahusiano!
watoto anao; huenda anataka tu kuwa na mtu ili mradi siku ziende!
maana kakutana na wengi lakini huenda Ben alikuwa anajua 'buttons' za push!
Hahahahaah pale Kuna mpaka chalii anaitwa Casper aliweka chata lake[emoji1787][emoji1787]Ila JLo na hiyo K yake mweeeh![emoji134]
Una machataa balaa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]JLo akichoka mb.oo yako hata kama mmefunga ndoa dk tano zilizopita, anakumwaga, then anaokota yeyote aliyeko machoni mwake analiendeleza[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ila JLo huwa haachwi hata siku mojaHakuna ajuaye what actually happened between the two. A Rod hili la Bennifer kuibuka tena baada ya miaka 17 baada ya yeye kukorofishana na JLO kwa wiki tu limemuumiza sana A Rod. Anadai hajafunga milango yote kwa yeye kuwa pamoja na JLO na pia wana biashara zao pamoja lakini kama Bennifer wataendelea basi atafunga milango yote na kuhakikisha biashara zao kama partners zinafikia ukingoni.
Namsifu huyo A Rod ana moyo mkubwa sana wa kusamehe sijui kwa vile ni JLO!? Mie mrembo ananifanyia kama haya tukiwa tumekorofishana na tunaongea ili tumalize tofauti zetu na kuendelea na penzi letu halafu anaenda kuvuliwa picchu na ME mwingine ndiyo imetoka hiyo!!!