After Calling Judges Wakora Uhuru Kenyatta now Takes Raila to The same Court to Force him to participate

Thank you!!

They will celebrate when police kill kids
They will prove to you that they want dictatorship
They will celebrate when A man ploughs his four wheel drive througha crowd

Alafu wanakuja hapa kubadilisha story inavyo wa fit- cant stay arguing with that!!
 
Ieleweke ya kuwa Raila anashtakiwa kwa kupoteza muda wa mahakama, contempt, na kuingilia kazi ya taasisi huru ya IEBC kwa kuvuruga shughuli ya marudio ya kura ya urais. Hakuna anayelazimisha jina lake liwe kwenye karatasi za kura. Sammuel999 acha ujuha wewe! Huwezi kutudanganya.
 

Usinikumbushe lile tukio la kugonga watu.... moyo uliniuma sana. they are now acting like magaidi.
Mungu tusaidie watu japo wawe na moyo wa imani.
Kuna maisha baada ya uchaguzi.
 
Hatukatai uchaguzi iko tarehe 26th sisi wana nasa tunataka tu constituency moja tu isipige kura MOJA TU!! and we will deconstruct you all with that!!
Violence or poll boycott is not a monopoly reserved for Nasarites, hata watu wa Jubilee can do the same at the opportune moment and deny Mganga mkuu the presidency.
 
What is democracy to you?,Nikikosa kukupigia kura naitwa mkabila, lakini wewe ukikosa kunipigia kura unaitwa a patriot. Hauelewi sasa za Kenya.
 
Kaambiwa na nani? CJ wa sasa ni no-nonsense person hanunuliki. Wao wacha waibeee kesi ikija mahakaman na ushahid patanyooka
Siasa na uvumi wa vijiweni acha huko huko vijiweni hapa ni facts wala si kukurupuka. Unamjua CJ wa Kenya kivipi?
 
Siasa na uvumi wa vijiweni acha huko huko vijiweni hapa ni facts wala si kukurupuka. Unamjua CJ wa Kenya kivipi?
This time Jubilee mmekalia kuti kavu kmamae mnadhan ni kama yule mvaa hereni na yule msomali aliyekuwa Chair wa IEBC?
1. Hakuna uchaguzi tarehe 26.10.2017.
2. Lazima mfanye mazungumzo na Bavant (RAO).
3. Mkiiba tena mahakama wanabatilisha matokeo (mtafanya uchaguzi mwaka mzima)
 
Tatizo la Uhuru analazimisha kuwa Rais,ameshaambiwa hata akishinda mahakama itamtupa tu.
Kenya hakutakua na uchaguzi bila ya Raila, na akilazimisha watamwaga sana damu
Wajaluo ndio watamwaga damu, umeona pande zingine au county zilizo na fujo isipokuwa Nyanza na Kibera? Uhuruto wako uongozini with or without elections and what Raila is doing is to delay His retirement.
 
Your Tin god will kill his own people in a quest to clinch the Presidency bit you too blind to see and break away from the shackles of Odingaism.
 
The bottom line hapa ni kuwa Raila will never be president of Kenya with or without the election.
 
Raha ya u Tundu Lissu ndio hii buana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…