After CDC, 80% of men and 75% of women have lost their virginity


mi ni mwalimu w hesabu ktk shule moja maarufu hapa dar ipo mikocheni.km hujui hesabu nyamaza co unaandika usichokujua.inatakiwa takwimu za wanaume na wanawake ukizijumlisha vifike 100% we zako hazifiki kw hiyo una2danganya ...home work tafuta mahali popote utakapopata takwimu mbili au tatu zenye asilimia ujumlishe uone jb licpokupa 100% aibu ji2 zima hujui hesabu ovyoooo
 

Ati mwalimu wa hesabu unaleta madudu hapa. Ndio ninyi walimu wa kukeremua hadi hesabu. Elewa swali ndio ukurupuke, sio unadandia tuu kitu usicho kijua. Hii sio hesabu ya kujiita mwalimu. Ni aibu.

Here is the context. 19.80 % of men na 75% of women have lost virginity.
.

Kama wewe ni kilaza wa namba kubali tuu, .
 
Yaani hata kumshukuru kwa kuanzisha mada hii hatutaki.........acheni uchoyo wanajamvi..........................mpongezeni mwenzenu kwa kazi nzuri.....................................................
 
Ni aibu kweli,kama mungu angetaka kumshusha nabii mwingine sijui ingekuwaje?Bikira zimekuwa adimu sana
 
Yaani hata kumshukuru kwa kuanzisha mada hii hatutaki.........acheni uchoyo wanajamvi..........................mpongezeni mwenzenu kwa kazi nzuri.....................................................

mmhhhh haya
kwa vile tu umeomba :smile-big:
 
ukiolewa bila bikra ujue mwenzia anakuchukulia ulikuwa malaya, kubali usikubali may be hiyo bikra alitoa yeye la sivyo ULIKUWA MALAYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…