After Google Inc,Now Paypal has also chosen Kenya


Ningekualika kutazama nchi zote husika katika huu mfumo wa PayPal katika tovuti www.paypal.com/worldwide . Nakuhakikishia hutopata nchi ambayo uchumi wake ni mdhaifu. Lakini sitaki hio iwe hoja. Natumai utakubaliana nami PayPal hishirikisha nchi ambazo zimeweka mikakati shwari kupigana na ulanguzi wa fedha, nchi ambazo benki zao ni imara kabisa, na pia, nchi ambazo raia wake sio watu wanaopenda kuvuna chenye hawakupanda, thibitisho kamili shutuma (sana sana kutoka kwa WaTz) eti wakenya ni watu walaghai hazina msingi wowote. na labda hili ndilo limefanya PayPal kukwepa nchi kama vile Nigeria, Russia na Ukraine.
 

kweli kabisa bwana
 
This is joke ..right?



Unless u don't know how paypal works, without having a registered american account this service is as good as useless to majority of locals.

Mstake ncheke miye..

...acha upuuzi,wewe kila kitu ni Kenya vs TZ,hao paypal or Google hawana hizo politiki zako wako pale to do business na wameona Kenya inafaa na can make something na kumbuka kuweka office zao pale means employment for locals,World class services etc,na the only useless ni i-diots like you mnaojifanya mnajua kumbe zero tuu,hizo elimu zako za madrasa zinaanza kujionyesha kila siku humu jinsi ulivyo useless...go away pls tumechoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…