After -sex-Mistakes

interlacs

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
213
Reaction score
193
Ndugu zangu yapo mambo ambayo mimi nayaita ( after sex mistakes), yaani makosa ambayo yanafanyika mara tu baada ya tendo la ndoa; after sex mistes yanachangia sana kudhorota kwa mausiano watu hawajuwi tu; ebu soma alafu changia na wewe makosa unayo jua;

1. Kupata usingizi mara tu baada yakufikia kileleni: kuna watu mara tu baada ya kufika kileleni upatwa na usingizi gafla matokeo yake upande mmoja katia yao uachwa hewani ukiwa bado unashauku ya kuendelea.

2. Kuoga ukiwa peke yako baada ya tendo: mara nyingi baada ya kufikia climax watu wengi ukimbilia bafuni wakiwa peke yao: kuoga ni jambo njema ila inatakiwa tendo hili lifanyike mkiwa wa 2, na siyo mara tu baada ya kukojoa ni vizuri kuvuta mda kidogo. Ukioga peke yako inaonyesha kwamba lengo lako ilikua ni sex tu au kuna harufu mbaya umeisikia kutoka kwa mpenzi wako sasa unakimbilia bafuni kuoga, matokeo yake ni kwamba uwezi kuendelea na tendo utalala uku ukumwenzio akiwa bado ana hamu yakuendelea na game, mwisho wasiku unamboa patna wako.

3. kulala peke yako au sehem nyingine tofauti; watu wengi mara tu baada ya tendo la ndoa wanakimbilia kulala sehem nyingine na hawataki kuguswa: tendo la ndoa siyo wajibu tu ni furaha I.e. pleasure, wengine wanafanya tu kuridhisha upande wa pili, wakisha kojoa tu basi hawataki ata kuguswa. Hii inaonyesha kwamba lengo ilikua ni kutoa maji basi, na siyo kufurai tendo la ndoa. Subiri ufutwe, ukumbatiwe na mpongezane.

4. Kusoma gazeti au kujishugulisha na mambo mengine mara baada ya tendo la ndoa; Sex is two ways road you should all enjoy the act before and after sex. kusoma gazeti mara tu baada ya tendo si jambo njema ndugu, ni vizuri kuendelea kumpapasa mpenzi wako ili kuonyesha kwamba unamjali, unampenda, wote mlikua pamoja wakati wa tendo.
5. Kuwaita watoto au marafiki: si jambo njema mara tu unapo maliza tendo la ndoa kuwaalika marafiki au watoto chumbani kwenu, ni vizuri mkaendelea kua peke yenu ili kutafakari tendo.

6. Kutoa maneno mabaya mara tu baada ya tendo: kwa mfano; unitoshelezi, sijaridhika, ka dude ka dogo, mwanamke gani huyu ata hajuwi kukatika, mwanamke kama mti ect, maneno haya upoteza hamu ya kuendelea kufanya mapenzi. Kumbuka maneno yana nguvu sana yanaweza kubadirisha mudi ya mtu. na wakati huu si wakati wakujadili makosa au matatizo ya familia, mtakorofishana na kupoteza maana ya tendo la ndoa. ivo basi inabidi kuwa waangalifu.

Endeleza orodha hii...
 

hapo nilipo-bold inabidi uendeleze wewe maana ndio ulieanzisha uzi mzito kiasi hicho...haya mkuu endeleza uliyoyaanza
 
duh kwel ili daraxa huru.!!! sa ka nikweli sijaridhika nisimwambie au hajui kweli kukatika, its a free zone area ntamwambia chochote ilimradi ni cha ukweli ili ajirekebishe..
 
Ngoja nikafanye uchunguzi na upembuzi yakinifu.
 
aisee...huo ni ukweli mtupu...na kiukweli ukishatoa wazungu,inabidi ujue walau kuFAKE mana mzuka metii!na wanaume hapa tunakimbiaga fasta!mwingine anavaa nguo kabisa hata kukaa uchi hawezi tena!
 
aisee...huo ni ukweli mtupu...na kiukweli ukishatoa wazungu,inabidi ujue walau kufake mana mzuka metii!na wanaume hapa tunakimbiaga fasta!mwingine anavaa nguo kabisa hata kukaa uchi hawezi tena!

hiyo niliyobold unanikumbusha mheshimiwa sana rais wa south mzee kipara zuma...zuma style unapiga fasta bafuni unaua vijidudu...safi sanaa
 
hiyo niliyobold unanikumbusha mheshimiwa sana rais wa south mzee kipara zuma...zuma style unapiga fasta bafuni unaua vijidudu...safi sanaa

who Cares? hiyo njia inabidi iingie kwenye njia zile za kujikinga na maambukizi....tumechoka kuvaa RAMBO!
 
Last edited by a moderator:
Naomba 2 modes msiihamishe,wengine hatuna acces ya kule lol!
 
7. Kuuliza "Chupi yangu iko wapi?"
8. Kuvuta fegi
9. Kutovua nylon
 
7. Kushangaa kama ****
lol. Unamshika mwenzio sehemu yake ya siri huku unashangaa shangaa
8. Kumkagua mwenzio mwilini na kuanza kusema maneno mabaya. Mfano, si mchina huyu??
9. Kumvizia mwenzio amesinzia unampiga picha za utupu ili ukajisifie kijiweni
10. Kukataa kumsaidia mwenzio kutafuta kondom kama hamuioni ana kummulika na tochi kama upo mgodini
11. Kuwapigia simu washkaji na kujisifia mabao mangapi umepata ama kusifia 'mzigo' wa leo
12. Kuuliza maswali mfano: mie kidume sio? Wakati unajijua wewe ni zero work na ukimuangalia unaona kanuna basi tu unajikausha
.......... Chekeni kwanza nitarudi baadae.
 
kuanza kumuigilizia alikvyokuwa akilalama kwenye game.... mfano alikuwa akiungama maneno fulani then afta gemu unaanza kumdhihaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…