7. Kushangaa kama ****
lol. Unamshika mwenzio sehemu yake ya siri huku unashangaa shangaa
8. Kumkagua mwenzio mwilini na kuanza kusema maneno mabaya. Mfano, si mchina huyu??
9. Kumvizia mwenzio amesinzia unampiga picha za utupu ili ukajisifie kijiweni
10. Kukataa kumsaidia mwenzio kutafuta kondom kama hamuioni ana kummulika na tochi kama upo mgodini
11. Kuwapigia simu washkaji na kujisifia mabao mangapi umepata ama kusifia 'mzigo' wa leo
12. Kuuliza maswali mfano: mie kidume sio? Wakati unajijua wewe ni zero work na ukimuangalia unaona kanuna basi tu unajikausha
.......... Chekeni kwanza nitarudi baadae.