After -sex-Mistakes

.kuambiwa leo umejitahidi
.katikati ya game kuulizwa nishawah kuwa na bf wangapi af baada ya hapo aanze kuhoji upya
.akimaliza tu anakimbia kulog facebook,jf.....
 
Kuambiwa leo umejitahidi
Katikati ya game kupigishwa story zisizohusu....nshawah kuwa na bf wangapi
Kumaliza tu na kukimbia kulog facebook,jf.....
 
Endeleza orodha hii...

sisitizo liwe katika kuongea yale yanayofaa kuongewa wakati huo..................kuoga labda iwe mchana lakini usiku ni kuabki kitandani na kufikiria namna ya kuliwazana huku mkiutafuta usingizi........................msipolala ujue ya kuwa kesho mtakua khoi bin taabani...................na punguzeni kurudianarudiana siku hiyo .......na kujichosha eti kisa badi ninahamu na wewe............kumbukeni there is always 2morrow............
 
tena bora awe mke wako unaweza hata kulala nae mpaka asubuhi, ka ni kimwanamke tu cha mtaani yaani hapo unavaa suruali yako na unaondoka hata kumwangalia mara mbili hutaki tena...
 

ha.ha ha ha........................... karucee, you made my weekend..
 
Tendo la ndoa siku hizi limechakachuliwa
Zamani hiyo ilikua ni siku maalum, inamaandalizi yake na utulivu wake
ukiifikiria tu mpaka mapigo ya moyo unayasikia yanaenda mbio

Sasa watu mnafanya kama kununua nyanya sokoni!!!!!?????

Ukisha ziweka kwenye mfuko , utakutana nazo nyumbani

SIJUI!!!?????????????
 
Just turn up the music to another level

Vaislay
 
Last edited by a moderator:
Ninamaswali ya kukuuliza ila nivizuri nikajua gender yako!!Ntarudi baadae!
 
Hiyo namba tano naomba ufafanuzi tafadhali
 
1) kutaja jina la mtu mwingine katikati ya mchezo... 2) kusema toa kidole uweke m++o... wakati ushaweka hicho anachohitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…