After sex, what's next? May be it can help to someone out there

Wewe ni genius
 
All is well on your narration ,ladies love to brag only about sex and forget men loves also mastermind ladies ,sijui nmeeleweka wazeeh.
 
Ninunulie basi dikshenari baba B😁
Nami nisiachwe nyuma kama

Darasa gani? Au lile la 2 nililoishia
Darasani ilikuwa, kama sio mtu wa kwaza, basi wa pili. 😅😅 Sasa unashindwaje kizungu?
 
Ahsante sana kwa muongozo.

Muongozo unaitwaje kwa kiinglishi mazee ili niiweke iendane na uzi
 
Ahsante sana kwa muongozo.

Muongozo unaitwaje kwa kiinglishi mazee ili niiweke iendane na uzi
Ongeza Zzz kwenye kila neno la kiswahili utakuwa tayar umetema yai!
........Mfano Muongozo= muongozoz
 
Mleta mada,ttz limeanzia kwenye malezi watoto hawagusi kitu hawali vyakula vyakujenga nguvu/ubingo hasa hawa watoto wanaojiita wamjini,ukikosa lishe bora utotoni and malezi bora usizani ukikua utakua tofauti,kazi zote animaliza dada wakazi nandio anaesimamia watoto wako.
Wapo busy na games and social media hawajui hata ugali unapikwaje je atakua namaarifa Kwa mumewe zaidi ya hizo dogs style
 
Kulikuwa na haja gani ya kutumia lugha ya kiingereza, lugha usiyoijua vizuri, sasa There's a two major..... ndo utopolo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…