AFTER SHAVE

Inamonga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2016
Posts
779
Reaction score
474
Habari waungwana,
Naomba kufahamu aina gani ya after shave nikitumia vipele havitatoka kwenye kidevu? Nimejaribu baadhi naona hazinisaidii..
 
Habari waungwana,
Naomba kufahamu aina gani ya after shave nikitumia vipele havitatoka kwenye kidevu? Nimejaribu baadhi naona hazinisaidii..
Tafuta dawa inaitwa Neo_ medrol
 
Habari waungwana,
Naomba kufahamu aina gani ya after shave nikitumia vipele havitatoka kwenye kidevu? Nimejaribu baadhi naona hazinisaidii..

Pole kwa " mipele " Mkuu. Tumia dawa moja hivi inaitwa AMOL-G ni nzuri sana kwa Vipele vya Kidevuni na vile vya Kichwani vinavyotoka baada ya Kunyolewa. Itafute upesi tafadhali ila ukipona usisite kurudi humu kunishukuru kwani hata Mimi nilimshukuru aliyenitajia hiyo dawa hivyo tuendeleze tu chain ya Kushukuru ukisaidiwa. Kila la kheri!
 
Ntaipata k/koo kwenye maduka ya vipodozi au duka la madawa?
Matumizi yake yakoje?
 
Bei yake nitakuja nami kukuambia Aikambe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…