After TICAD, here comes AFRG

After TICAD, here comes AFRG

Hahah Rockefeller foundation, hao wanaleta sumu Afrika, Rockefeller foundation ndiyo waliotengeneza HIV-AIDS, hao ndiyo wanao-fund Sayansi ya Eugenics ambayo lengo lake ni population control, Rockefeller foundation ndiyo waliotengeneza Ebola virus na hao ndiyo wako nyuma ya GMO au genetic modified food GM ambayo EU na Bara zima la Ulaya limepiga marufuku genetically modified food hata Asia wamekataa sasa wameona waje kwa wajinga wapenda kuongea english Waafrika ...

Rockefeller foundation ndiyo waliofund nazi Germany human research program, ambapo Mwanasayansi maarufu wa Nazi Germany Josef Mengele alifanya human experimemts nyingi sana kwenye concentrations Camps!
Hata Gas iliyotumiwa na Manazi kuuwa watu kwenye concentration camps, mustard gas ilikuwa funded na Rockefeller foundation!

Nchi ya Kenya ni kidonda na iko kwa ajili ya kuangamiza Black race, Kenya inatumiwa na Wazungu kudestryoy Black race!
Elite wa Kenya ni evil!

Rockefeller familly is an evil familly!
Helpless people blame others for their problems.
 
Hahah Rockefeller foundation, hao wanaleta sumu Afrika, Rockefeller foundation ndiyo waliotengeneza HIV-AIDS, hao ndiyo wanao-fund Sayansi ya Eugenics ambayo lengo lake ni population control, Rockefeller foundation ndiyo waliotengeneza Ebola virus na hao ndiyo wako nyuma ya GMO au genetic modified food GM ambayo EU na Bara zima la Ulaya limepiga marufuku genetically modified food hata Asia wamekataa sasa wameona waje kwa wajinga wapenda kuongea english Waafrika ...

Rockefeller foundation ndiyo waliofund nazi Germany human research program, ambapo Mwanasayansi maarufu wa Nazi Germany Josef Mengele alifanya human experimemts nyingi sana kwenye concentrations Camps!
Hata Gas iliyotumiwa na Manazi kuuwa watu kwenye concentration camps, mustard gas ilikuwa funded na Rockefeller foundation!

Nchi ya Kenya ni kidonda na iko kwa ajili ya kuangamiza Black race, Kenya inatumiwa na Wazungu kudestryoy Black race!
Elite wa Kenya ni evil!

Rockefeller familly is an evil familly!

Una ushahidi mkuu?
 
kale ka prime minister ka UK ndo katakuja ama vile cameron ali resign ndo itaruka tu hivyo? we need to close the year on a high... PM wa UK akija atakuja na tourist wa huko, sikuhizi hua hawaji tena, wachina, wajerumani,wataliano, wafaransa, waarabu na wahindi ndo wamejazana
 
Back
Top Bottom