Afumaniwa sasa anajutia na hana solution


Si muungi mkono toka mwanzo ila nataka kukumbusha kwamba siku hizi wanafunzi wa chuo ndiyo wanaongoza kwa tabia zote chafu.
ngono zisizo na msingi
Wasichana kuvaa uchi uchi
Party za kijinga
Pia hata wabunge pia nao wachafu.
Kwa hiyo usitumie kigezo cha kuwa chuo kuhukumu, mhukumu mtu kwa ujinga wake binafsi si
 
Awasiliane na huyo binti aende wakati askari hayupo achukue vile vitu vyake.Ampigie askari simu amwombe msamaha. Ila kama mimi ningemchinja jamaa kwa sababu ananiharibia wadogo zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…