Ushauri wa bure,
Huyo mpuuzi asamehe kila kitu alichoacha kwa huyo polisi. Kwa upumbavu kama huo wala msiende kumtafuta mzee wa kuwasindikiza. Mtaanzaje kumweleza mzee mwenye busara zake upuuzi huo,halafu unasema mko chuo, sasa huko mnasoma nini?
Hilo ni lake na alibebe mwenyewe, ila msisogee wala kupita mitaa anayoishi huyo polisi.