Unajua utamu wake nini? Tupe experience basiMmmh loooh ote usiombe yakukute
Yaaani we achaa tu. Ni aibu ningekuwa mim hata kazi ningeacha kbsa
Wandugu habari za kazi,
Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.
Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.
Kuna mdada nafanyanae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.
Chakushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa, jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.
kwakweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea..jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.
Watu mnapenda kushuhudia subiri na nyie mtashuhudiwaMaeneo gani hayo ? Nami nipite huko
Siyo ktk mazingira ya aibu kama vilemoniii;
Uache kazi ya kukulisha na kukutunza ati kisa umetoa uroda! Tena kwa boss!! Unasema unataniaaaaa? Acha za kuleta monii, yaonesha una kahusuda flan hivi. Mbaya sana ungesema alikuwa anatoa tigo lakini kumbe tunda! Cha lanyee, ulitaka nini?? Simama imara waambie wenzio hapa kazi tu, tunatakiwa tujenge taifa hata kwa kutumia vifua na mapajaaa
Inategemea aiseeKuhusu network inakuwa ni LTE kabisa... Yaani ile 4G iliyo tukuka tena unaweza kojoa dk hio hiyo goli ambalo halijawahi tokea ina sadikiwa lile goli linaweza toboa kizazi kwa maana likiwa open space lina weza ruka mita tano kwa speed kali na wingi mno....
Ukitaka prove siku moja toa bastola wakati mjamaa ndo anakuja utaona
Hakuna anaejua maana hatujawahi hata kuhisi kama wanamahusianommmmmmhhhhhh!!! hizi mambo bado zipo tu? hatari sana.... inanikumbusha kipindi nimemaliza a level miaka ya 2001 nilipata tempo kwenye moja ya kampuni ya ujenzi kubwa kidogo mjini. kumbe yule mkurugenzi (mwenye kampuni) alikuwa anakula anakula ps wake ofisini,kuna siku kuna fundi wa kuitwa ngosha aliwafuma live ofisini wameinamishana.. fundi akabaki kuduwaa asijue la kufanya mpaka aliposhtuliwa na wapita kwenye korido kuwa anaunguza picha ndo ikabidi afunge mlango akasepa zake na pesa asidai siku hiyo.
Tumemshauri atafute wazee aende nao home asirudi peke yake.Duuuuh! Hii hatari!!! Huyo dada anaanzaje kurudi kwake labda? Am speechless!! Hivi mpaka unaamua kumvulia boss wako kyupyi huku unalala na lidushe kila siku na kuamka nalo,ni ufinyu wa akili au ni nini? Huyo mume alijua huo mchezo mzima! sipati picha huyo dada sura ilivyomporomoka ka bi kikongwe !hataisahau hii siku ever!!
Inategemea aisee