Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Jf is Rezting In Pizzz.... thread hii imemake to 10 pageszz....!!??
 
Yaaani we achaa tu. Ni aibu ningekuwa mim hata kazi ningeacha kbsa

moniii;
Uache kazi ya kukulisha na kukutunza ati kisa umetoa uroda! Tena kwa boss!! Unasema unataniaaaaa? Acha za kuleta monii, yaonesha una kahusuda flan hivi. Mbaya sana ungesema alikuwa anatoa tigo lakini kumbe tunda! Cha lanyee, ulitaka nini?? Simama imara waambie wenzio hapa kazi tu, tunatakiwa tujenge taifa hata kwa kutumia vifua na mapajaaa
 



POST KAM HIZI NYINGI SANA JF HALAFU NYINGI ZA UONGO NI STORY KAMA ZA KINA SHIGONGO,,,,,,,ET AKAITA STAFF TUSHUHUDIE,, AKAMPIGA PICHA AKAONDOKA,,,,, kitendo cha yeye kutoka kwenda kuwaita hao staff ni lazima tendo linakuwa limeisha na kuvaa nguo zao labda kama walinasana.
 
Siyo ktk mazingira ya aibu kama vile
 
Duuuuh! Hii hatari!!! Huyo dada anaanzaje kurudi kwake labda? Am speechless!! Hivi mpaka unaamua kumvulia boss wako kyupyi huku unalala na lidushe kila siku na kuamka nalo,ni ufinyu wa akili au ni nini? Huyo mume alijua huo mchezo mzima!
 
Duuuuh! Hii hatari!!! Huyo dada anaanzaje kurudi kwake labda? Am speechless!! Hivi mpaka unaamua kumvulia boss wako kyupyi huku unalala na lidushe kila siku na kuamka nalo,ni ufinyu wa akili au ni nini? Huyo mume alijua huo mchezo mzima! sipati picha huyo dada sura ilivyomporomoka ka bi kikongwe !hataisahau hii siku ever!!
 
Inategemea aisee
 
mmmmmmhhhhhh!!! hizi mambo bado zipo tu? hatari sana.... inanikumbusha kipindi nimemaliza a level miaka ya 2001 nilipata tempo kwenye moja ya kampuni ya ujenzi kubwa kidogo mjini. kumbe yule mkurugenzi (mwenye kampuni) alikuwa anakula anakula ps wake ofisini,kuna siku kuna fundi wa kuitwa ngosha aliwafuma live ofisini wameinamishana.. fundi akabaki kuduwaa asijue la kufanya mpaka aliposhtuliwa na wapita kwenye korido kuwa anaunguza picha ndo ikabidi afunge mlango akasepa zake na pesa asidai siku hiyo.
 
Monicca, unajisikia raaaaaha kwa kuwaingiza wenzio chaka. Sio vzr
 
Hakuna anaejua maana hatujawahi hata kuhisi kama wanamahusiano
 
Tumemshauri atafute wazee aende nao home asirudi peke yake.
Inategemea aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…