Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Moniccca so far nini kinaendelea kwa wafumaniwa hasa majumbani kwao?
 
Daah fumaniz la mwaka itakua uyo mwanaume alishahisi kitu
Kwa jinsi maelezo yalivyo nahisi kutakuwa na mtu aliekuwa najua kinachoendelea na amevujisha siri kwa mume wa huyo mdada, ila mgegedo ofisini, dah!!!!
 
Hizi ndoa zisikie tu humo vyumbani, ukute dada wa watu hajawahi kojoleshwa tangu ameingia ndoani na mbaya zaidi gunzi lenyewe kibamia....akiguswa tu ashajikojolea!!! Omba Mungu sana.
Kwani Lazima kuolewa ukiamua unaweza tu ukaishi mwenyew bila ata kukojoleshwa na vibamia usivijue uchaguz ni wako ndoa ni kwa wenye akili timamu hasa
 
Badala ya kunipa pole!mapenzi ofisin haya kwepeki kama unapenda vyeo Na mshahata mnono.otherwise utaishia kuwaona wanawake wenzio wana drive gari hata kama ni 'mtoto wa gari'
 
HUYU BINTI AMESHAKUWA JIPU KWA ULAGHAI...

Huyu bidada mleta uzi si moniccca huyuu ahhhhh basiii ndo yule yule, huyu si ndo yule alianzisha UZI fulani hivi kuwa MPENZI wake hatoi mgegedo mpaka siku ya kufunga pingu za maisha(NDOA) ahhh basiii ni yeye ehh huyu si yule yule leo tarehe 23april-16 asubuhi na mapema alikuwa anatuhabarisha kuwa leo ANAOLEWA ....akawa anachati siku nzima sasa sijuwi kanisani alimuacha bwana harusi akila kiapo peke yakee yeye akiwa busy na simu jf Ndiyooooo.. sasa huyu binti ni JIPU maswala ya kutudanganya fullstop ni wa kuchunguzwa naomba niunde tume ya maadili jf ili imchunguze huyu binti kitabia na kuwahada wa jf kwa story za kizushi.....
 
Ukiambiwa kuwa nn wewe ulomuita mmewe utakana? Iweje uingie na mgeni kwa ofis ya boss bila hodi? Kwa nn hukuanza wewe kwenda mwenyewe kwa boss? Ofis yenu haina secretary au ndo wewe? Kama ndo wewe mbona ma secretary huwa wanaanza kuongea na ma boss? Basi una unafiki bi dada maana hiyo unayosema eti ni shoga yako mi naona ni unafiki na ww ndo ulimuita mumewe!
 
Mbona unaangalia upande mmoja wa aliyevua ili hali ana mume kwake? Na huyu bosi? Atakuwa hana mke kwake? Lakini, kwanini ofisini? Nway, utamu wa chakula ukila njaa inapokushika.
Mwanamme sikuzote kosa lake halionekani na hata akifanya kosa kama hilo jamii haimtizami sana kama atakapofanya mwanamke na yeye ndio mwanamke alitakiwa aheshimu ndoa yake mwanamme mie daima huona kwenye jambo kama hili
wazimu wa ngono ukimshika hafikirii sana safety....wachache sanaaaaaaaaa..
 
Jipu la kwapani au makarioni?
 
ina maana huyo bosi hakufunga mlango? au munkari uliwazidi hata wote wakajisahau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…