Afumwa akifanya mapenzi ofisini


moniccca hivi hili sakata liliishaje?
 
lakini jamaa alikuwa anafaidi sana kama lile bando au ofa ya tigo ya sasa hivi inayotangazwa CHA ASUBUHI
 
Huo ni umalaya kiwango cha mastaz kwa kweli unapata wapi ujasiri wa kufanya hivo ofisini
 
Zamani nipo zangu field nimeamka asubuhi sana, kuwahi ofisini. Namkuta boss kamuinamisha mfagizi bize wanafanya yao. Nilipita zangu km moja, yule mfagizi alikuja akasema naomba unifichie siri nikamwambia uwe na amani hutayasikia.
 
Eeeeeehhhhhhhhhh
 
Hii ni sinema ya mchana kweupe ,nafikiri mapenzi ofisini na wake za watu sasa ni kitu cha kawaida !!!
Kuna mpuuzi Mmoja ametuhamisha ofisi Ili alr watoto wa kike.

Mdogomdgo tumehama ...maana wahasira, wao hata %1 hawajapata. Kumng'oa MTU tumarinda changu ..no...
Nimesepa na tumarinda changu tudogo
 
Monica Tunaomba mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…