Ndo maana tunaliwa mikeka yetu kumbe mpuuzi anabet na uku Yuko uwanjanMshambuliaji wa Brentford Ivan Toney afungiwa kucheza, kushiriki mpira wa miguu kwa muda wa miezi 8 kuanzia leo pamoja na kulipa faini ya Tzs 150,000,000/
Hapo mwaka jana alikutwa na tuhuma za kucheza kamari, alishiriki kucheza kamari hadi kwenye mechi alizocheza wakati ni kinyume na sheria za mpira za Uingeleza ambazo haziruhusu Mchezaji wa Mpira kuanzia 5 tier kushiriki au kuhusika na kamari ya mpira
Haruhusiwi hata kubet na mshahara unakoma
Anabeti kisirisiriHaruhusiwi hata kubet na mshahara unakoma
Kwanza kuna haja gani ya kubeti wakati anakula mamilioni kila wiki!!Ila jamaa bwege, angekuwa anampa mkeka mtu mwingine amchezee
🤣🤣🤣afu bekiMbona Kolarov hakufungiwa na alkua anabet anamuua CITY
Kwanza kuna haja gani ya kubeti wakati anakula mamilioni kila wiki!!
Na game zote alkua anapiga watu ngumi anakula umeme🤣🤣🤣afu beki
kOlalovu ni falaNa game zote alkua anapiga watu ngumi anakula umeme
Ila jamaa bwege, angekuwa anampa mkeka mtu mwingine amchezee
Kuna yule jamaa wa trippier nae alimchoma kipindi anahama kwenda ATMAlie mchoma ni rafiki yake, mi naamini hawa wachezaji wanabet ki siri sana bila mtu mwingine kujua. Toney alicho kosea ni kumshirikisha rafiki yake.