Afungwa jela Miaka 4 Kwa Kosa La Kuvua Kondom Katikati ya Mechi Ya Tendo

Afungwa jela Miaka 4 Kwa Kosa La Kuvua Kondom Katikati ya Mechi Ya Tendo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
WhatsApp Image 2024-06-16 at 22.00.21.jpeg
 
Sheria iko wazi, ukivunja makubakiano lazima uwajibike.

Sema tu huku watu hawajui haki zao, jitu linadanganya msichana wa watu ati litaweka kicha tu afu linafumbukiza lote, kisheria hilo ni kosa, kuvunja makubaliano.

Jitu limevua condom katikati ya tendo, dada wa watu akipata mimba anafanyaje? Kama hakuwa tiyari kubeba mimba? Magonjwa je?

Nadhani kibongo bongo watu wanaona aibu lakini mnalitambua sana kuwa kuvunja makubaliano muliyo yakubaliana kabla ya teno ni kosa, sasa endeleeni kuogopa.

Wacha huyo akanyee debe apate adabu.
 
Sheria iko wazi, ukivunja makubakiano lazima uwajibike.

Sema tu huku watu hawajui haki zao, jitu linadanganya msichana wa watu ati litaweka kicha tu afu linafumbukiza lote, kisheria hilo ni kosa, kuvunja makubaliano.

Jitu limevua condom katikati ya tendo, dada wa watu akipata mimba anafanyaje? Kama hakuwa tiyari kubeba mimba? Magonjwa je?

Nadhani kibongo bongo watu wanaona aibu lakini mnalitambua sana kuwa kuvunja makubaliano muliyo yakubaliana kabla ya teno ni kosa, sasa endeleeni kuogopa.

Wacha huyo akanyee debe apate adabu.
Asa wataka iwekwe kichwa tuh icho kiwiliwili kibaki wapi ,
 
Sheria iko wazi, ukivunja makubakiano lazima uwajibike.

Sema tu huku watu hawajui haki zao, jitu linadanganya msichana wa watu ati litaweka kicha tu afu linafumbukiza lote, kisheria hilo ni kosa, kuvunja makubaliano.

Jitu limevua condom katikati ya tendo, dada wa watu akipata mimba anafanyaje? Kama hakuwa tiyari kubeba mimba? Magonjwa je?

Nadhani kibongo bongo watu wanaona aibu lakini mnalitambua sana kuwa kuvunja makubaliano muliyo yakubaliana kabla ya teno ni kosa, sasa endeleeni kuogopa.

Wacha huyo akanyee debe apate adabu.
Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom