Afungwa miaka 400 jela

Afungwa miaka 400 jela

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,204
Mahakama wilayani Sumbawanga imemtia hatiani bwana Cosmas Mafuru kwa kosa la kuanzisha Chuo fake,bwana Mafuru mwenye umri wa miaka 50,alituhumiwa kwa kosa la kujiita Mkurugenzi wa Chuo Cha Uandish wa Habari cha Dar es Salaam City College tawi la sumbawanga,ambapo Cosmas alikua akigawa vyeti fake.pia alikua akikusanya pesa,mahakama ilipomkuta na hatia ilimhukumu miaka 490 jela
sosi:HABARI LEO LA 18.12.2011
 
Wamemuonea kabisaaa.je walioifikisha nchi hapa ilipo kwa kuifisad je?Wanakula raha kama kawaida..,
 
si bora waseme wamemfunga maisha mtu ana miaka 50 halafu anafungwa miaka 490 sheria za kibongo bwana au kafungwa miaka 4.90. Nashut down fasta
 
Nilipoisoma hii hbr nikajiulza je wanaofoj vyet vya elim na kujiita Madokta wa PhD?
Wamemuonea kabisaaa.je walioifikisha nchi hapa ilipo kwa kuifisad je?Wanakula raha kama kawaida..,
 
Hahahahahahah,hakimu ametimiza wajibu
si bora waseme wamemfunga maisha mtu ana miaka 50 halafu anafungwa miaka 490 sheria za kibongo bwana au kafungwa miaka 4.90. Nashut down fasta
 
Sasa Ndio napata picha Duniani hakuna usawa kabisa ni bora yeye na elimu katoa but kuna mafisadi wanatufukc na wanadunda hakumu aliyemukumu ni ***** zake na ukoo wake wote.
 
Sasa Ndio napata picha Duniani hakuna usawa kabisa ni bora yeye na elimu katoa but kuna mafisadi wanatufukc na wanadunda hakumu aliyemukumu ni ***** zake na ukoo wake wote.

yeah ila cosmas amepatwa na Hatia
 
Huyo hakimu nae atakuwa anataka sifa tu miaka 490?yaani imepitiliza mpaka umri wa uhai wake du hii ni kali.
 
duh!ya mungu mengi,anaweza akamuweka hai kwa miaka yote hiyo
 
Vevy good!. Hii ni dawa kwa wahujumu wote wa Elimu.
 
nilipoisoma hii hbr nikajiulza je wanaofoj vyet vya elim na kujiita madokta wa phd?

tumeshauzwa kwa wazungu na mafisadi.yenyewe hata yakifoji vyet ni halali.asilimia kubwa ya viongoz wetu elimu zao ni utata mtupu.
 
Back
Top Bottom