Afungwa siku 14 kwa kuvaa mlegezo mahakamani

Kwa hiyo kigezo ni kama zinaruhisiwa au hazuhusiwi kuuzwa? Kama ndio kigezo, basi kwa vile ni ruksa kuuza chupi basi watu wawe wanarhusiwa kuingia mahakama wakiwa wamevaa vyupi tuu?
nafikiri mfano wako ni mfu! haulengi maana. nguo kulegea si kuvunja sheria. hajatembea huchi huyu. zamani watu walivaa nguo pana (pekosi, bellbotom), wakavaa zinabana (chupa), madada wanavaa minskate na mapaja yako nje hawajakamatwa. si mlegezo zamani ziliitwa mtepesho!! the old is gold!! mahakama lazima ifuate sheria si tu hakimu anaamua tu.
mtu anaiba maelfu hafungwi mwizi wa kuku anakula miaka mingi tu haki ipo?
chenge anagonga nakuua analipa 7lki, daladala inagonga dreva miaka mingi jela haki wapi?
na mifano mingi inayoonyesha jinsi tanzania kusivyo na usawa hadi katika sheria.
oinabidi tuanze pia kuzipigia kelele hata mahakama.
 

Mbaya zaidi WaTZ hatupo AWARE na hizo sheria...
Na utaratibu wa mawakili nao umetupita kushoto.
Sifagilii milegezo lakin naona huyo kaka wamemuonea tu.Huyo hakimu alipaswa kufikiria zaidi na sio kuweka misimamo yake binafsi
 
afi kabisa mana hii tabia imewaharibu vjana sana cjui lipi lipi linalowavutia
 


Katika hali iliyowashangaza wengi,msela mmoja aliyetambulika kwa jina la Rajabu Athumani, jana alihukumiwa kifungo cha siku 14 kwa kosa la kuonekana mahakamani akiwa amevalia kaptula chini ya makalio maarufu kama mlegezo au Kata K.


Athumani ambaye alifika katika Mahakama ya Wilaya Ilala kwa ajili ya kusikiliza kesi nyingine inayomkabili ambayo kwa mujibu wa karani wa Mahakama hiyo ni ya ubakaji, alionekana akiwa amevalia hivyo huku nguo za ndani zikionekana.


“Mtu kuvaa suruali chini ya makalio ikiwa sio maadili yetu na tamaduni zetu Waafrika hasa kwenye shughuli za Serikali na kuonesha nguo zake za ndani, anachukuliwa hatua haraka iwezekanavyo,” alisema Hakimu.
 
amuongeze angalau miezi 3!?! Pamabafuu kabisaa, yaaan navyo chukia mm!
 
12 months, lazima aheshimu mahakama.
 
Mbaya zaidi WaTZ hatupo AWARE na hizo sheria...
Na utaratibu wa mawakili nao umetupita kushoto.
Sifagilii milegezo lakin naona huyo kaka wamemuonea tu.Huyo hakimu alipaswa kufikiria zaidi na sio kuweka misimamo yake binafsi
I agree with you ZD. Ila hapo bold kuna msemo wa mahakama usemao: Ignorantia juris non excusat. (not being aware of a law is not an excuse [for violating it]) au tena:Nemo legem (jus) ignorare censetur (nobody is supposed to ignore the law)
 
Reactions: EMT
Achilia mbali maadili, wanadhalilisha viwanda vya nguo, wao wameweka saizi tofauti za ngua..20; 21;22........na kuendelea, sasa kama mwili wako ni mdogo nunua kulingana na ww, mwisho wa siku chupi tuta vaa juu ya suruali!
 
Achilia mbali maadili, wanadhalilisha viwanda vya nguo, wao wameweka saizi tofauti za ngua..20; 21;22........na kuendelea, sasa kama mwili wako ni mdogo nunua kulingana na ww, mwisho wa siku chupi tuta vaa juu ya suruali!

Ha ha haaa!! Hii kali mkuu.
 
hii ni kali kwa kweli.........
miaka minne???????
gharama za kumlisha miaka minne kwa kuvaa mlegezo?
kwa nini wasingemchapa bakora yakaisha?
au miezi sita?

Miaka 4 ipi tena mkuu. Ni siku 14, jamaa kapigwa ndani siku 14. Napenda kamata kamata ije mpaka mtaani, hasa vituo vya daladala makonda wote piga ndani.
 

Wakuu hii nilishuhudia mwenyewe na siku kadhaa baadae mama mmoja alikoswakoswa kwa simu kuita akiwa mahakamani.
 
Reactions: EMT

Same Hakimu. Very strict, yaani noma. Mahakama ya Ilala wanamhara kuanzia makarani, waendesha mashitaka na kila mtu. Kajamaa hakali rushwa hata kidogo.Atachukua pesa yako halafu siku ya hukumu unapata haki yako kama ni kifungo haya na pesa yako unarudishiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…