Afutiwa mashtaka kwa kukosa nafasi gerezani

Afutiwa mashtaka kwa kukosa nafasi gerezani

Marwa_J_Merengo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
4,512
Reaction score
6,882
Serikali ya kisiwa cha Guam imesema kuanzia mwezi January mwaka 2015 haitampokea mfungwa yeyote atakaefungwa kwa makosa mengine tofauti na uchochezi kutokana na magereza nchini humo kuzidiwa na msongamano wa wafungwa wa makosa ambayao hayaiathiri serikali moja kwa moja.

Aiza serikali kisiwani humo imewaagiza mahakimu kutowapatia adhabu za kifungo gerezani wale wote kwenye makosa yasiyoiathiri serikali moja kwa moja na hakimu atakayekiuka agizo hilo atalazimika kumfungia mtuhumiwa nyumbani kwake muda wote wa kutumikia kifungo chake

Aidha mtu mmoja ambaye alikuwa amebakiza dk chache kuhukumiwa kifungo cha miaka 39 jela kwa kosa la unyanganyi amelazika kuachiliwa huru kutokana na agizo hilo
 
Serikali ya kisiwa cha Guam imesema kuanzia mwezi January mwaka 2015 haitampokea mfungwa yeyote atakaefungwa kwa makosa mengine tofauti na uchochezi kutokana na magereza nchini humo kuzidiwa na msongamano wa wafungwa wa makosa ambayao hayaiathiri serikali moja kwa moja.

Aiza serikali kisiwani humo imewaagiza mahakimu kutowapatia adhabu za kifungo gerezani wale wote makosa yasiyoiathiri serikali moja kwa moja na hakimu atakayekiuka agizo hilo atalazimika kumfungia mtuhumiwa nyumbani kwake muda wote wa kutumikia kifungo chake

Aidha mtu mmoja ambaye alikuwa amebakiza dk chache kuhukumiwa kifungo cha miaka 39 jela kwa kosa la unyanganyi amelazika kuachiliwa huru kutokana na agizo hilo

Kweli bangi mbaya. Ukivuta basi kila upuuzi unaopita kichwani unadhani ni hoja ya kutupa mtandaoni.
 
Kweli bangi mbaya. Ukivuta basi kila upuuzi unaopita kichwani unadhani ni hoja ya kutupa mtandaoni.
nakubaliana na wewe kwa 100% bangi ni mmea kama mimea mingine ila inatakiwa itumiwe kwa uangalifu mkubwa yaani umevuta umesahau kama uko kwenye jukwaa la vichekesho

Sasa hutaki kuchekeshwa jukwaa la vichekesho unataka kukojozwa
 
Kweli bangi mbaya. Ukivuta basi kila upuuzi unaopita kichwani unadhani ni hoja ya kutupa mtandaoni.


Mkuu kwa muktadha huu, wewe ndio inaonekana umepuliza cha hapa Arusha.

Hili ni jukwaa la udaku.
 
Sio mmoja tu kwani Mahakama inatoa hukumu kwa mtu mmoja tu kwa siku
Serikali ya kisiwa cha Guam imesema kuanzia mwezi January mwaka 2015 haitampokea mfungwa yeyote atakaefungwa kwa makosa mengine tofauti na uchochezi kutokana na magereza nchini humo kuzidiwa na msongamano wa wafungwa wa makosa ambayao hayaiathiri serikali moja kwa moja.

Aiza serikali kisiwani humo imewaagiza mahakimu kutowapatia adhabu za kifungo gerezani wale wote kwenye makosa yasiyoiathiri serikali moja kwa moja na hakimu atakayekiuka agizo hilo atalazimika kumfungia mtuhumiwa nyumbani kwake muda wote wa kutumikia kifungo chake

Aidha mtu mmoja ambaye alikuwa amebakiza dk chache kuhukumiwa kifungo cha miaka 39 jela kwa kosa la unyanganyi amelazika kuachiliwa huru kutokana na agizo hilo
 
Back
Top Bottom