Afya Bahati Bukuku yazidi Kuimarika na wala hajavunjika mgongo

Nafikiri ni imetokea tu balaa haitabiriki ila Bahati anayo hela ya kutosha sielewi nini kimemfanya asafiri na hizi mnazosema IT.

Wewe ndiye wallet yake kuthibitisha hiki unachokisema?
 

Mpendwa acha umbea....vitu usivyoweza kuthibitisha ni vya kunyamazia tu.
 
Wewe ndiye wallet yake kuthibitisha hiki unachokisema?
Hiyo ni kwa mujibu wa vitega uchumi vyake sasa na wewe unavyobisha ina maana umekosa akili ya kufikiria tu Bahati anauza copy kiasi gani kutokana na mziki wake ukiachia mbali miradi yake.
 
una ushahid gani Bon mwai anagegeda bukuku?
Yawezekana anakugegedea dadako?
Usishabikie usiyoyajua wewe?
Kojoa ukalale,waache walokole watuombee kwa Mungu.

Wako wote kwenye kupokea na kumeza mbaazi pale palestine health centre
 
una ushahid gani Bon mwai anagegeda bukuku?
Yawezekana anakugegedea dadako?
Usishabikie usiyoyajua wewe?
Kojoa ukalale,waache walokole watuombee kwa Mungu.
Una upungufu mkubwa wa akili kama maji jangwani. pumbavu wewe. jiheshimu.

menionewa wapi nikisema hivyo au hujui kutumia computer nin?
 
Bon Mwaitege anakula mzigo mkuu

Tumia akili basi japo mara moja-moja.

Mungu amekusamehe,najua wewe ni wa upande mwengine,.
Bahati Mungu alikuwa anakuonya na rushwa toka kwa Makamba,na wale wote waliochukua warudishe

una ushahid gani Bon mwai anagegeda bukuku?
Yawezekana anakugegedea dadako?
Usishabikie usiyoyajua wewe?
Kojoa ukalale,waache walokole watuombee kwa Mungu.

Kama hujui kum quote mtu omba ufundishwe na sio kuwapachika watu uhusika usiowahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…