SoC04 Afya Bora taifa bora

SoC04 Afya Bora taifa bora

Tanzania Tuitakayo competition threads

hauleibrahim

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
183
Reaction score
125
Taifa Lina hitaji nguvu kazi na nguvu kazi vijana wanali hitaji taifa.

Ili taifa kiendelee linahita vijana wenye afya Bora na sio Bora afya je nn kifanyike vijana wabaki kuwa na afya Bora na wananchi wengine.

Vifuatavyo vizingatiwe.
Vijana wafanye mazoezi mara Kwa mara mana mazoezi n Tiba Kwa mtu yoyote yule Kwa hiyo ni vizuri seriKali na vyombo vya habari vikawa mstari wa mbele kuhamasisha ufanyaji mazoezi Kwa vijana wake ndani ya taifa.

Ziwepo checkup ZeNye wataalamu wa afya za binadamu za kudhaminiwa na serikali:hii itaongeza hali ya kuwajenga vijana wa kesho kwenye taifa wanao zitambua afya yao ya mwili tofauti na sasa vijana wengi hawazitambui afya zao kiundani sana matokeo ndio kama muonavyo wanakufa kama kuku

Tuhamasishe ukaji mlo kamili Kwa vijana: vijana wengi Milo yao hawazingatii Milo kamili wao nikunywa kunywa makemikali y kiwandani Kuna kijana mwaka unaisha maziwa hajanunua anywe ila kemikali ana kunywa kila Leo ni vizuri pia vyombo vya habari vikawa vinatoaa elimu za umuhimu wa chakula Bora Kwa vijana Kwa faida ya kujenga vijana Bora wa faida ya miaka mingi kwenye taifa.

Tutor elimu ya matumizi ya vitu vya Moshi kama bangi na sigara,shisha elimu itolewe vijana kuacha kutumia vitu vya Moshi sana sababu vinaenda kuathiri afya zao matokeo yake tutakuwa na taifa lenye vijana lukuki wenye matatizo yaliyo tokana na utumiaji vitu vya moshi Moshi.

Tupige vita ngono zembe Kwa fujo ngono zembe imeharibu watu na kupoteza nguvu kazi kutokana na magonjwa Kam ukimwi na mengineyo ni vizuri kila mtu awajibike kuwapa vijana darasa la faida ya kutunza afya yake kiujumla iwe faida Kwa taifa na familia yake.

Taifa Bora la miaka kumi mpka 20 lilijengwa vizuri Leo hii Kwa msingi imara kesho tutaishi muda mrefu tukiwa hatuna magonjwa nyemelezi ya mara Kwa mara katika miili yetu.

Taifa lenye afya Bora inawezekana


Taifa Bora lenye vijana wenye afya Bora kw miaka kumi ama 29 inawezekana tukishirikiana kuamua kufanya mapinduzi ya fikra Hadi ya kufuata life style badala ya kanuni za just afya.


.
 
Upvote 3
Taifa Lina hitaji nguvu kazi na nguvu kazi vijana wanali hitaji taifa.

Ili taifa kiendelee linahita vijana wenye afya Bora na sio Bora afya je nn kifanyike vijana wabaki kuwa na afya Bora na wananchi wengine.

Vifuatavyo vizingatiwe.
Vijana wafanye mazoezi mara Kwa mara mana mazoezi n Tiba Kwa mtu yoyote yule Kwa hiyo ni vizuri seriKali na vyombo vya habari vikawa mstari wa mbele kuhamasisha ufanyaji mazoezi Kwa vijana wake ndani ya taifa.

Ziwepo checkup ZeNye wataalamu wa afya za binadamu za kudhaminiwa na serikali:hii itaongeza hali ya kuwajenga vijana wa kesho kwenye taifa wanao zitambua afya yao ya mwili tofauti na sasa vijana wengi hawazitambui afya zao kiundani sana matokeo ndio kama muonavyo wanakufa kama kuku

Tuhamasishe ukaji mlo kamili Kwa vijana: vijana wengi Milo yao hawazingatii Milo kamili wao nikunywa kunywa makemikali y kiwandani Kuna kijana mwaka unaisha maziwa hajanunua anywe ila kemikali ana kunywa kila Leo ni vizuri pia vyombo vya habari vikawa vinatoaa elimu za umuhimu wa chakula Bora Kwa vijana Kwa faida ya kujenga vijana Bora wa faida ya miaka mingi kwenye taifa.

Tutor elimu ya matumizi ya vitu vya Moshi kama bangi na sigara,shisha elimu itolewe vijana kuacha kutumia vitu vya Moshi sana sababu vinaenda kuathiri afya zao matokeo yake tutakuwa na taifa lenye vijana lukuki wenye matatizo yaliyo tokana na utumiaji vitu vya moshi Moshi.

Tupige vita ngono zembe Kwa fujo ngono zembe imeharibu watu na kupoteza nguvu kazi kutokana na magonjwa Kam ukimwi na mengineyo ni vizuri kila mtu awajibike kuwapa vijana darasa la faida ya kutunza afya yake kiujumla iwe faida Kwa taifa na familia yake.

Taifa Bora la miaka kumi mpka 20 lilijengwa vizuri Leo hii Kwa msingi imara kesho tutaishi muda mrefu tukiwa hatuna magonjwa nyemelezi ya mara Kwa mara katika miili yetu.

Taifa lenye afya Bora inawezekana


Taifa Bora lenye vijana wenye afya Bora kw miaka kumi ama 29 inawezekana tukishirikiana kuamua kufanya mapinduzi ya fikra Hadi ya kufuata life style badala ya kanuni za just afya.


.
Tatizo vijana nao ni wabishi sana. Angalau mazoezi wanajitahidi kufanya, lakini hivyo vingine ni mtiti.

Tunaweza kuweka huduma zote na wakazikacha. Wakakataa kupima, wakajilia wanavyojisikia na kuhusu ngono hahaaaaah 😆😄😄....... kajaribu kuwashauri uone.

Muda mwingine mambo yao tunawaachia wenyewe maana ni wabishi sana cc Smart911
 
Tatizo vijana nao ni wabishi sana. Angalau mazoezi wanajitahidi kufanya, lakini hivyo vingine ni mtiti.

Tunaweza kuweka huduma zote na wakazikacha. Wakakataa kupima, wakajilia wanavyojisikia na kuhusu ngono hahaaaaah 😆😄😄....... kajaribu kuwashauri uone.

Muda mwingine mambo yao tunawaachia wenyewe maana ni wabishi sana cc Smart911
Usipo jali afya huna ndoto
 
Tatizo vijana nao ni wabishi sana. Angalau mazoezi wanajitahidi kufanya, lakini hivyo vingine ni mtiti.

Tunaweza kuweka huduma zote na wakazikacha. Wakakataa kupima, wakajilia wanavyojisikia na kuhusu ngono hahaaaaah 😆😄😄....... kajaribu kuwashauri uone.

Muda mwingine mambo yao tunawaachia wenyewe maana ni wabishi sana cc Smart911
Hakika...


Cc: Mahondaw
 
washushe bei vyakula waone kama kuna mtu atakua na afya mbovu....apa nimekula mioogo mitano na chai(wanga) nasbr ugali wa buku kwa mama ntilie na maharage na majani kidogo(wanga) usiku nipate kujiliwaza na wali wa buku mia mbili mbagala pale(wanga) mia3 inayobaki nitakula vipande viwili vya tikiti(viwili ni mia4 mi naomba kwa mia 3)
kimsingi serikali haisapoti afya bora kwa mtu wa hali ya chini...asilimia kubwa ya vijana sahv tuna miili midogo kwa kukosa afya kwakua vyakula bei juu na hii ndio sababu hao walio juu(viongozi wanzidi kunenepa kutoka vitrambi na kupeleka watoto wao nje ya nchi masomoni)
sisi masikini afya tutaipata kwa maombi tu
 
U
washushe bei vyakula waone kama kuna mtu atakua na afya mbovu....apa nimekula mioogo mitano na chai(wanga) nasbr ugali wa buku kwa mama ntilie na maharage na majani kidogo(wanga) usiku nipate kujiliwaza na wali wa buku mia mbili mbagala pale(wanga) mia3 inayobaki nitakula vipande viwili vya tikiti(viwili ni mia4 mi naomba kwa mia 3)
kimsingi serikali haisapoti afya bora kwa mtu wa hali ya chini...asilimia kubwa ya vijana sahv tuna miili midogo kwa kukosa afya kwakua vyakula bei juu na hii ndio sababu hao walio juu(viongozi wanzidi kunenepa kutoka vitrambi na kupeleka watoto wao nje ya nchi masomoni)
sisi masikini afya tutaipata kwa maombi tu
Na elewa maana ya mlo kamili mkuu kama unaelewa mlo kamili reply upya kama huelewi naomba nikupe darasa.
Kwa siku yako nzima hupaswi kula chakula chenye aina moja ya madini mfno asubhi mihogo n wanga mchana wali ni wanga usiku wali ni wanga haitakiwi hovyo mlo kamili ni mlo ulio kamilika kila dini muhimu Kwa ukuaji wa mwili wa binadamu iwe hivi chakula chako kila uwepo vyakula vya wanga kiwepo,vitamin,protini yani mchanganyiko wa madini ili kila kimoja kikusaidie mwilini kwenye kuboresha na kukuza mwili kupambana na magonjwa mpka ukuaji. Wake na kuimarisha Kinga zako.

Mlo kamili sio kula chakula kingi mlo kamili sio kula wubwbwa samaki au chips ama biriani mlo kamili ni chakula kinacho kuwa na madini zaidi ya moja Kwa faida ya afya ya mwili wako
 
Mlo kamili unaenda sambamba na kipato
Ila tutafika tu..!
Usemalo ni sahihi ila pia weka na neno nidhamu ya kujua kupangilia chakula chenyewe.mana unaweza kuwa na kipato usijue kupangilia mlo wako kamili
 
U

Na elewa maana ya mlo kamili mkuu kama unaelewa mlo kamili reply upya kama huelewi naomba nikupe darasa.
Kwa siku yako nzima hupaswi kula chakula chenye aina moja ya madini mfno asubhi mihogo n wanga mchana wali ni wanga usiku wali ni wanga haitakiwi hovyo mlo kamili ni mlo ulio kamilika kila dini muhimu Kwa ukuaji wa mwili wa binadamu iwe hivi chakula chako kila uwepo vyakula vya wanga kiwepo,vitamin,protini yani mchanganyiko wa madini ili kila kimoja kikusaidie mwilini kwenye kuboresha na kukuza mwili kupambana na magonjwa mpka ukuaji. Wake na kuimarisha Kinga zako.

Mlo kamili sio kula chakula kingi mlo kamili sio kula wubwbwa samaki au chips ama biriani mlo kamili ni chakula kinacho kuwa na madini zaidi ya moja Kwa faida ya afya ya mwili wako
nilikua nazungumzia gharama za upatikanaji wa huo mlo kamili kwa mtu wa hali ya chini....mtu ambae kwa siku anaingiza elfu 5 halafu inabidi ifanyiwe matumizi
kama haupo kwenye kundi hili la watu wa kupata elfu 5 kwa siku hutanielewa nachomaanisha
 
nilikua nazungumzia gharama za upatikanaji wa huo mlo kamili kwa mtu wa hali ya chini....mtu ambae kwa siku anaingiza elfu 5 halafu inabidi ifanyiwe matumizi
kama haupo kwenye kundi hili la watu wa kupata elfu 5 kwa siku hutanielewa nachomaanisha
Nimesha kuelewa ila usemalo ni sahihi ila tusijinyime sana tukipata mana mtaji wa maskini ni nguvu zake na afya Bora pekee hakuna kingine
 
m
nilikua nazungumzia gharama za upatikanaji wa huo mlo kamili kwa mtu wa hali ya chini....mtu ambae kwa siku anaingiza elfu 5 halafu inabidi ifanyiwe matumizi
kama haupo kwenye kundi hili la watu wa kupata elfu 5 kwa siku hutanielewa nachomamanisha
mfano kipindi nafanya kazi mbagala kiwanda fulani cha rasta nilikua nalipwa kwa siku elfu 5....just imagine mtu huyu anapataje mlo kamili kwa elfu 5 na hyo hesabu iwe tunassume anaishi peke yake hana mtu anaemtegemea....
hyo ni ndoto ya mchana
acha watu wapige hera za za miradi ya lishe nchini ila lishe au mlo kamili kwa mtu wa chini ni mpaka serikali iamue kupunguza gharama za upatikanaji wa hio milo kamili ndio wataipata....
mfano kwa huyo mtu anaelipwa elfu 5 kama vyakula vinapatikana kwa bei rahisi basi tsh elfu 1500 inamtosha kupata mlo m1 uliokamilika 1500 mlo wa wa pili uliokamilika(huo uliokamilika namaanisha wenye virutubisho) na akabaki na pesa ya kufanya baadh ya mjukumu
so point ni kwamba huyu mtu wa hali ya chini hawezi kupata mlo kamili wenye afya kwa kushauriwa humu jamii forum bali serikali ikiamua kuweka misimamo ya bidhaa kupatikana kwa bei nafuu anaweza kupata afya
 
Mlo kamili
m

mfano kipindi nafanya kazi mbagala kiwanda fulani cha rasta nilikua nalipwa kwa siku elfu 5....just imagine mtu huyu anapataje mlo kamili kwa elfu 5 na hyo hesabu iwe tunassume anaishi peke yake hana mtu anaemtegemea....
hyo ni ndoto ya mchana
acha watu wapige hera za za miradi ya lishe nchini ila lishe au mlo kamili kwa mtu wa chini ni mpaka serikali iamue kupunguza gharama za upatikanaji wa hio milo kamili ndio wataipata....
mfano kwa huyo mtu anaelipwa elfu 5 kama vyakula vinapatikana kwa bei rahisi basi tsh elfu 1500 inamtosha kupata mlo m1 uliokamilika 1500 mlo wa wa pili uliokamilika(huo uliokamilika namaanisha wenye virutubisho) na akabaki na pesa ya kufanya baadh ya mjukumu
so point ni kwamba huyu mtu wa hali ya chini hawezi kupata mlo kamili wenye afya kwa kushauriwa humu jamii forum bali serikali ikiamua kuweka misimamo ya bidhaa kupatikana kwa bei nafuu anaweza kupata afya
Sio lazima uupate kazini mkuu Kwa hiyo hiyo elfu Tano ukijibana na kuwekeza getoni chakula utapata kula mlo kamili hiyo elfu Tano muhimu n kupangilia tu na kuomba MUNGU mambo yasiwe yanaingiliana mara Kodi mara umeme.ila kama n mtu ulikuwa na hali y kuwekeza pesa unanunua vitu mlo kamili unakula tu.

Kwa hiyo hiyo elfu 5 unhepangilia mambo
 
Back
Top Bottom