Afya na mazoezi ya viungo

Joel cole

Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
42
Reaction score
5
Hi?,wanajamvi mimi ni mgeni katika jukwaa la Jf doctor,

Naomba ushauri kwa wataalamu wa mazoezi ya viungo na mwili kwa ujumla.

Mimi ni kijana umri miaka 23. Nahitaji kuwa na Mwili wenye nguvu pamoja na kutengeneza matuta matuta tumboni.

Maeneo ninayokaa hakuna Gym ,hivyo kwa wale wazoefu wa mazoezi nishaurini. Ni aina gani ya mazoezi ninayotakiwa kuyafanya ili nifikie lengo hilo.

Pia naomba kuelimishwa ni vyakula gani vinafaa nivitumie .

Shukurani.
 
Joel, pokea hiyo link:-http://www.maxwettsteinfitness.com/Training%20Plan/Abs%20Exercise%20Chart.htm

 
nashukuru sana, kaka yangu nimepata mwanga wa kile ninachokitaka,,. na kuomba kama kuna hati zaidi ya hapo uniongezee zaidi. ubarikiwe


[TABLE="class: itemDetailTable"]
[TR]
[TD="width: 40%"][TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
habari ya kuamka wadau , naomba kuuliza , hivi katika hili suala la mazoezi mtu anatakiwa kukimbia walau kwa muda gani , na kila asubuhi na jioni ni muda upi maalumu ambapo mtu anaweza kufanya mazoezi yake.
 
kukimbia inategemeana name uwezo wako..waweza anza nusu SAA..baada ya cku au wiki..lisaaa..haraf baada ya mud a..masaa..Mda mzuri wa mazoez niasubuhi.
 
kukimbia inategemeana name uwezo wako..waweza anza nusu SAA..baada ya cku au wiki..lisaaa..haraf baada ya mud a..masaa..Mda mzuri wa mazoez niasubuhi.

asante, kwa ushauri nitaufanyia kazi.
 
habari yenu wanajamvi, naomba kuuliza kuna vifaa vya mazoezi vinauzwa madukani ila sivifahamu majina yake ya kitaalamu. vifaa vyenyewe ni kama vile spiring ya kutanua kifua, kamba ya kuruka, spiring ya kupushi kwa juu ukiwa umekanyaga kitako chake na miguu pamoja na kifaa cha kukuza au (kutanua) misuri ya mikono.
naweza kuvipata wapi? na kwa ghalama gani? mimi napatikana kisiwani_sumbawanga manispaa au kama kuna mtu anafahamu sehemu yenye GYM anielekeze.
 
Hiyo kamba ya mazoezi unaweza kuipata supermaket
 
nawapongeza wote wario nipa ushauri ,naona mwili umeanza kuzoea taratibu. mungu awabariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…