Afya usisahau!!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Kupitia tovuti ya wizara ya afya na ustawi wa jamii kwa taarifa muhimu za kujiunga na chuo ambazo zilitakiwa zitumwe kwenye masanduku yenu lakini utaratibu ukabadilishwa!!

Taarifa hizi zitawekwa leo siku ya Ijumaa,.


Tovuti ya wizara ya afya na ustawi wa jamii: www.moh.go.tz

Nawatakieni maandalizi mema!!
 
Hadi saa hizi(KIMYAAA)

mkuu kwa taarifa ambazo bado sijazithibitisha ni kwamba majina ya waliochaguliwa tiyari yameshapelekwa kwenye vyuo husika hivyo usipoteze muda kusubiria tamko au taarifa kutoka wizarani,.

Wahi chuoni na taarifa zote muhimu ambazo ulipaswa kuzijua kabla ya kuripoti chuoni utazijua hukohuko!!

Kitengo cha mawasiloano mnatia aibu sana kushindwa kutoa taarifa za wazi kwa wanafunzi!!

Mnawajengea mazingira magumu sana!!
 

Poa ngoja niwahi mie.
 
Poa ngoja niwahi mie.


wadau nimeona wa2 wengi walochagulia koz mbal2 za afya wamepata sponsor ya government,,
naomben msaada wa procedures za kuomba huo mkopo,,ni km za vyuo kupitia bodi au ni zipi???
p'se msaada

thnx
 
wadau nimeona wa2 wengi walochagulia koz mbal2 za afya wamepata sponsor ya government,,
naomben msaada wa procedures za kuomba huo mkopo,,ni km za vyuo kupitia bodi au ni zipi???
p'se msaada

thnx

Umemaliza mwaka gani, na ni level ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…