The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Huyu bwana Netanyahu amekuwa alifanya maamuzi mabaya bila shaka ni Kutokana na Kuzorota Kwa Hali yake ya kiafya kiasi kwamba amekata tamaa ya maisha hivyo kupelekea kufanya maamuzi yanayoleta maafa,ana ugonjwa wa akili.
Mojawapo ya Hali tete za kiafya zinazomkabili bwana huyo ni ;
-Anaumwa busha (Ngiri,hernia)
-Anaumwa Tezi dume
-Anaumwa Moyo (pacemaker) Ina msaidia
-Ana shida za upumuaji
Swali.
Hao watu wa Israel wamekosa watu wengine Hadi kumchukua mgonjwa wa akili ndio kuwa PM?
View: https://www.instagram.com/p/DEMbLH1tGDL/?igsh=dXJ3bjI0c2VpNjBo
Mojawapo ya Hali tete za kiafya zinazomkabili bwana huyo ni ;
-Anaumwa busha (Ngiri,hernia)
-Anaumwa Tezi dume
-Anaumwa Moyo (pacemaker) Ina msaidia
-Ana shida za upumuaji
Swali.
Hao watu wa Israel wamekosa watu wengine Hadi kumchukua mgonjwa wa akili ndio kuwa PM?
View: https://www.instagram.com/p/DEMbLH1tGDL/?igsh=dXJ3bjI0c2VpNjBo