The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Ndio huyo si ni mgonjwa wa akili,lazima afanye mauaji ikizingatiwa amekata tamaa ya maisha hana Cha kupoteza.Walio hai wanauawa na mgonjwa sio?
Anatakiwa kufa haraka sana kama anavyowafanyia wengine
Mzee wa umri kama wa kamanda Netanyahu kuwa na magonjwa kama hayo ni kawaida sana.Anatakiwa kufa haraka sana kama anavyowafanyia wengine
Ayatollah nowadays anatolewa nje kuota jua na kurudishwa cage chini ya uangalizi maalumu.Mzee wa umri kama wa kamanda Netanyahu kuwa na magonjwa kama hayo ni kawaida sana.
Miaka 75 si haba, pamoja na magonjwa yote bado anasimama kidete kupambana na magaidi
Nikuhakikishie huyo utakufa wewe yeye utamuacha mzimaHuyu bwana Netanyahu amekuwa alifanya maamuzi mabaya bila shaka ni Kutokana na Kuzorota Kwa Hali yake ya kiafya kiasi kwamba amekata tamaa ya maisha hivyo kupelekea kufanya maamuzi yanayoleta maafa,ana ugonjwa wa akili.
Mojawapo ya Hali tete za kiafya zinazomkabili bwana huyo ni ;
-Anaumwa busha (Ngiri,hernia)
-Anaumwa Tezi dume
-Anaumwa Moyo (pacemaker) Ina msaidia
-Ana shida za upumuaji
Swali.
Hao watu wa Israel wamekosa watu wengine Hadi kumchukua mgonjwa wa akili ndio kuwa PM?
View: https://www.instagram.com/p/DEMbLH1tGDL/?igsh=dXJ3bjI0c2VpNjBo