Afya ya akili ni matizo ya syntax, error, bugs na update security and software brain

Afya ya akili ni matizo ya syntax, error, bugs na update security and software brain

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Afya ya akili inaonekana kuwa tatzio ndio maana imekuwa tatizo kubwa duniani tena kwa nchi ambazo mfano Tanzania wakisingiziwa na CCM kuwa nchi yao ni wapole na wapenda amani.

Wanaokumbuka Y2K basi teknolojia ilikuwa kama CCM mpaka kufanya wajinga wakawa wajinga.

Tuje kwenye mada ambazo ni mfano tosha tu.

Kama una simu janja ya mwaka 2010 kwa leo inaendana kazi onayotaka.
Jibu hapana!
Kwa nini!
Mfumo huo utagundua kuwa akili yake imekosa afya sababu hakuna mwenye kumpinga wala kujifunza sababu kuna tatizo.

Maisha ya wanadamu wanaishi kama mifumo ya teknolojia ilivyo kuendana na mfumo wa maisha.

Yaani leo mtu kukwambia utembee kwa miguu ufike sehemu ya nchi fulani wakati kuna vyombo vya usafiri, huyo si unaona ana tatizo la afya za akili.

Sawa na CCM kulazimisha haya
 
Back
Top Bottom