Afya ya Dr. Idrisa Rashid Aliye kuwa Gavana ni ??


Kuna jamaa alitangaza kwenye msiba wa ndugu yake kwamba kafa kwa AIDS, ndugu walimtenga. Bahati nzuri jamaa hakukata tamaa na sasa
kapunguza athari za AIDS kwa ndugu zake through kuongea wazi wazi na kupeana ushauri.

Ujinga wetu ndio unatumaliza, matokeo yake, mtu anajua kabisa yule bwana au yule dada bwanake/mke wake kafa kwa AIDS lakini wao wamo tu kujimwaga nao. Labda tuanze kusema bila kuona aibu kama mtu kafa kwa AIDS ili kuokoa wanaobaki.
 
Hata Mzee Nelson Mandela alitangaza waziwazi msibani kuwa mwanae Makgatho alikufa kwa UKIMWI, lakini haya masuala yako katika utawala wa familia husika, wao ndio wenye uhuru huo na hiari hiyo. Hatuna haki sisi wengine kuwaingilia kwenye mambo yao ya ndani ya familia yao.
 

Kwa hiyo Dr. Idrissa Rashidi anafanya kazi na nani kwa faida ya nani, ikiwa hao hapo juu ambao ndiyo wadau wakuu na kiini cha Tanesco ni maadui zake?
 
mbona mnakazania kutajana ngoma .. mbona wenye kisukari hamuwataji...kisukari pia hakitibiki..ila unaishi kwa matumaini....!!
 
halafu mie sipendi kuzungumzia mamabo ya magonjwa

Fitna kama imekaa sehemu iache ya nini kuanza kuitokonyoa wakati imetulia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…