Duh.Unamaanisha hilo bakuli lote unapigia mswaki
siku moja? mbona hujaweka vipimo.
Si kweli,si dawa zote zina alcoholDawa zote za meno za kiwandani zina pombe kiwango cha kati 20% 25% [emoji16]
Tumia maji ya uvugu vugu yenye limao kusafisha meno yako na backing soda ( magadi ) kila asubuhi.
Karibuni kula wakuuView attachment 859971