Mpwa! hawana conf. ya kuperform bila ya cha ZIMBABWE/ARUSHA matokeo yake wanakuwa midebwedo. Kuna kabinti kaliperform kwenye bongo star search kanaitwa sijui SHAA? kanavibrate vizuri kama simu ya NOKIAInabidi wapunguze kujiachia wanakunywa sana Bia na minyama nyama tena wanakula ovyo ovyo ndo maana wanaishiwa pumnzi alafu hata Bange nazo wapunguze.
kunenepa si kukosa afya bali wanatakiwa wafanye mazoezi wawe wepezi na kuweza kulimudu jukwaaa
Mkuu inaniuma kuona wewe ni atheletic unawaachia hawa vijana wanafura kama maputo wachukuwe ukawapandishe vilima vya goba na salasala sa 12 asubuhi waache ndumu na tusker
Mimi binafsi ni shabiki mkubwa sana wa muziki wa kizazi kipya, hongereni vijana mnajitahidi. Ila ninawasiwasi sana na huko mnakoelekea kiafya, tuige mfano wa wenzetu wa nje, HAMFANYI PHYISICAL EXERCISE mfano JUZI TU AY ulimi nje nyimbo 2 oale dimond jubilee aliishiwa punzi kwa waliokuwa wanafwatilia.
Ifwaatayo ni list ya walionenepa kupita maelezo kwa kipindi kifupi tu walipoa toa single 1/2
1. Prof J
2.Matonya
3. AY
4.Joycelene
5.Keisha
6.umemsahau kassim......
7........
Hongera Zola D. wewe unapaswa kuwa mfano wa kuigwa.
Mimi binafsi ni shabiki mkubwa sana wa muziki wa kizazi kipya, hongereni vijana mnajitahidi. Ila ninawasiwasi sana na huko mnakoelekea kiafya, tuige mfano wa wenzetu wa nje, HAMFANYI PHYISICAL EXERCISE mfano JUZI TU AY ulimi nje nyimbo 2 oale dimond jubilee aliishiwa punzi kwa waliokuwa wanafwatilia.
Ifwaatayo ni list ya walionenepa kupita maelezo kwa kipindi kifupi tu walipoa toa single 1/2
1. Prof J
2.Matonya
3. AY
4.Joycelene
5.Keisha
6.......
7........
Hongera Zola D. wewe unapaswa kuwa mfano wa kuigwa.
Big up kwa Mustafa Hassanaali
Mkuu BURN embu tutafutie picha ya huyo jamaamkuu huyu jamaa amevunja rekodi ya kupunguza uzito bongo, natamani nijue siri yake halafu nafungua weight clinic/health club maeneo ya mikocheni au nitaongea na zadok anipangishe kwenye hayo magara yake ya dar village niwabane mademu wa kibongo maana wengi nao wapo obsessed na uzito.
mkuu huyu jamaa amevunja rekodi ya kupunguza uzito bongo, natamani nijue siri yake halafu nafungua weight clinic/health club maeneo ya mikocheni au nitaongea na zadok anipangishe kwenye hayo magara yake ya dar village niwabane mademu wa kibongo maana wengi nao wapo obsessed na uzito.