Katika society hii ya kibongo mtu akinenepa ndo kapata mafanikio jamani, wengi wakiwa na pesa ndo utawakuta huko kwenye ma biere na nyamachoma, supu na vyakula vingine ambavyo baada ya muda utakuta mtu kafumuka km puto basi hapo wadanganyika utasikia jamaa mambo yake supa si unaona alivyochana tehe, wakati kumbe ndo anakaribisha ma presha na sukari bila kujijuwa, tumejengeka hivyo so hata hao wasanii hutawakosa huko kwenye VITI MOTOZ wakifutusha miili yao. wenzetu wana mpaka watu maalum wa diet na ni siriaz kweli kweli. Wabongo au sie waafrika mazoezi yetu ni KITANDANI tuu ukimwambia aende GYM anashangaa hahahah eti mie mwanamuziki na si BONDIA, BONGO kweli tambarare