M Mr Lee Joon Ki Member Joined Nov 16, 2018 Posts 18 Reaction score 21 Nov 17, 2018 #1 Naomba msaada wako Doctor wa JF naomba unifahamishe na unielimishe kwamba kutokwa na Uchafu mweusi Ukeni unasababishwa na njia ya Uzazi wa mpango wa njia ya Vijiti?
Naomba msaada wako Doctor wa JF naomba unifahamishe na unielimishe kwamba kutokwa na Uchafu mweusi Ukeni unasababishwa na njia ya Uzazi wa mpango wa njia ya Vijiti?
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 54,943 Nov 17, 2018 #2 Kwa niaba sio?