afya

suregirl

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
6,056
Reaction score
196
hi wanajf,,,, jamani naombeni msaada wenu. ninatokwa na vitu kama shatashata ukeni lakini havinuki wala nini nikikaribia period vinakua vizito i mean maji maji mazito please help
 
Nadhani ni mabadiliko ya homoni yanayosababisha hiyo hali sababu mji wa mimba unakuwa haujapata kazi yake unaanza kujimega ili yai ambalo halijarutubishwa litoke.
Ila tusubiri wataalamu watujuze zaidi bt i think its normal
 
nadhani ni mabadiliko ya homoni yanayosababisha hiyo hali sababu mji wa mimba unakuwa haujapata kazi yake unaanza kujimega ili yai ambalo halijarutubishwa litoke.
Ila tusubiri wataalamu watujuze zaidi bt i think its normal
uko sahihi kabisa ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…