Agenda ya CCM ni kuikuza ACT- Wazalendo na kuidogosha CHADEMA

Agenda ya CCM ni kuikuza ACT- Wazalendo na kuidogosha CHADEMA

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000

Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT

ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania

Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
 
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000

Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT

ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania

Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Mtateseka sana na Mzee Mbowe hadi mtaelewa tu embu sikilizeni hiyo👇
View: https://youtu.be/mwGriQifADE?si=VRMa1CR98FFlwEg-
 
CDM hawaiwezi - kuna mtu alijiapiza kaondoka kaiacha ikistawi.
 
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000

Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT

ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania

Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Hawawezi KAMWE! Ni wajinga mno! Nchi nzima wanawaza SIASA Tu Yaani Wapate madaraka waibe.....
 
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000

Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT

ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania

Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Kizuri chajiuza na kibaya............
 
Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000

Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT

ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania

Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Na washafanikiwa. Ni suala la muda tu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom