Mtateseka sana na Mzee Mbowe hadi mtaelewa tu embu sikilizeni hiyo👇Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000
Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT
ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania
Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Mambo ya CCMMtateseka sana na Mzee Mbowe hadi mtaelewa tu embu sikilizeni hiyo👇
View: https://youtu.be/mwGriQifADE?si=VRMa1CR98FFlwEg-
Hawawezi KAMWE! Ni wajinga mno! Nchi nzima wanawaza SIASA Tu Yaani Wapate madaraka waibe.....Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000
Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT
ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania
Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Kizuri chajiuza na kibaya............Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000
Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT
ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania
Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?
Na washafanikiwa. Ni suala la muda tu 🤣🤣🤣🤣🤣Imeshangaza nilivosikia katibu wa CCM Nchimbi akisema Chama chenye wagombea wengi cha upinzani ni ACT kwamba kina wagombea Zaid ya 3000
Me nimetoka Ngara hadi Dar sijaona mtaa wala Kijiji chenye mgombea wa ACT
ACT ni CCM B
ACT akishinda ni CCM imeshinda
Na Sasa ACT watapewa mitaa kadhaa ili uonekane Upinzani tulishinda Tanzania
Nauliza huko kwenu ACT Wazalendo ipo?