Agenda za Mkutano mkuu wa Simba 2016.

Agenda za Mkutano mkuu wa Simba 2016.

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
13712271_1049000135136177_1841814067_n.jpg
 
Kikao kimekimbizwa ndani ya masaa mawili kimeisha kuna baadhi kubwa ya wanachama kwa wingi ikiwa ni pamoja na mwenyekiti na uongozi kwa ujumla ni kama wameshauza timu kwa muhindi ilikuwa ni vituko toka mwanzo hadi mwisho watu wameingia mkutanoni wakitaka ijadiliwe tu ajenda ya tisa ikabidi mwenyekiti akimbize mkutano hadi ajenda ya tisa alipofika hapo akasema haya "ndugu wanachama klabu haina tena uwezo wa kujiendesha tunahitaji mabidililiko hivyo basi tumeunda kamati ya watu iliyowahoji wanachama 25 inaanza mapendekezo yataletwa kwenu mabidililiko na kikao kimefungwa
 
Back
Top Bottom