Elections 2010 Agenda

Mnyalu wa Kweli

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2010
Posts
233
Reaction score
55
Ndugu zangu baada ya kuchakachua matokeo na CCM kujitangazia ushindi wanaharakati za ukombozi na kambi ya upinzani ina kazi zifuatazo sasa:
1; Kupigania katiba mpya inayokidhi mazingira ya vyama vingi
2: Kuhakikisha tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa huru
3; Kuandaa programme maalum ya utoaji civic education
4;** Itungwe sheria itakayowabana watu watakaoshindwa kupiga kura baada ya kujiandiakisha. Kuna mtu jana kaniambia Australia wana sheria ya aina hiyo. Sijiui kama ni kweli***. Nawasilisha wakuu.




Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…