Agent: Msaada wa kisheria tafadhali

Agent: Msaada wa kisheria tafadhali

The activist

Senior Member
Joined
Aug 9, 2014
Posts
113
Reaction score
67
Kuna mfanyabiashara mmoja hapa Mwanza nilipeleka mzigo wangu aniuzie mwezi umepita sasa.Baada ya siku chache ofisi yao ilifungwa na TRA hivyo nilipokuwa nampigia simu hapokei ,Leo nampigia anasema ashanilipa.
Msaada tafadhali namna ya kufuata kisheria ili haki yangu isipotee . Nawakaribisha wenye uelewa na hili tu.Pia kama kuna mwanasheria Mwanza anayeweza kunisaidia kwa hili tuwasiliane PM.Masihara, kujeli hapa havina nafasi.Natanguliza shukrani.
 
tafuta mwanasheria aliye karibu yako atakusaidia
 
Braza humu huwez pata msaada wa kisheria.coz ethics za lawyerz hailuhusiw kujipromote anywhere.so cha kufanya tafuta mwanasheria aliyepo kalibu yako
 
Kuna mfanyabiashara mmoja hapa Mwanza nilipeleka mzigo wangu aniuzie mwezi umepita sasa.Baada ya siku chache ofisi yao ilifungwa na TRA hivyo nilipokuwa nampigia simu hapokei ,Leo nampigia anasema ashanilipa.
Msaada tafadhali namna ya kufuata kisheria ili haki yangu isipotee . Nawakaribisha wenye uelewa na hili tu.Pia kama kuna mwanasheria Mwanza anayeweza kunisaidia kwa hili tuwasiliane PM.Masihara, kujeli hapa havina nafasi.Natanguliza shukrani.

Kuna Mwanasheria mzuri hapo Manza anaitwa Nasimire. Mtafute -sina namba yake lakini ukienda mahakama kuu utaipata maana amefanya kazi pale over 30 yrs!
 
Back
Top Bottom