Agizo la Ikulu ya Kampala Uganda kwenda ofisi ya waziri mkuu

Agizo la Ikulu ya Kampala Uganda kwenda ofisi ya waziri mkuu

SERIKALI 3

Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
82
Reaction score
18
Kwa maagizo ya IKULU kama hizi, hivi tutapata maendeleo AFRIKA?
attachment.php

 

Attachments

  • Uganda HOES.jpg
    Uganda HOES.jpg
    45.6 KB · Views: 2,769
Hv zama hizi ni zama za kugawiana zana za zama za mawe? Kweli waganda mu7 kawashika pabaya.
 
Watu wameshapiga hela hapo,ukiuliza utaambiwa jembe moja limenunuliwa kwa $ 100
 
Labda majembe yakupalilia bustani.....teh teh..😉
 
Kwa maagizo ya IKULU kama hizi, hivi tutapata maendeleo AFRIKA?
attachment.php


What's wrong with that?
Watanzania tusijidanganye kwamba kilimo cha mashine ni maendeleo endelevu. Hivi hamuoni kuwa mafuta yanaendelea kuwa bidhaa adimu na ghali kila siku?
Isitoshe, kilimo cha mashine kinanyang'anya ajira za wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira.
TUSIWE WAVIVU WA KUFIKIRI NA KUYATAZAMA MAMBO KWA MASAFA MAREFU!
 
Nonsense
What's wrong with that?
Watanzania tusijidanganye kwamba kilimo cha mashine ni maendeleo endelevu. Hivi hamuoni kuwa mafuta yanaendelea kuwa bidhaa adimu na ghali kila siku?
Isitoshe, kilimo cha mashine kinanyang'anya ajira za wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira.
TUSIWE WAVIVU WA KUFIKIRI NA KUYATAZAMA MAMBO KWA MASAFA MAREFU!
 
Back
Top Bottom