Agizo la kufungwa miaka 30 kwa wanaowatia watoto mimba haliwazuii Watz

Agizo la kufungwa miaka 30 kwa wanaowatia watoto mimba haliwazuii Watz

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nimecheka sana kwa hii hotuba ya rais Magufuli, amechomekea vikechekesho humo japo pia ni suala la kusikitisha, kwamba Watz licha ya kuwekewa mikwara ya kufungwa miaka 30 kwa anayetia mtoto mimba, hilo halijawazuia, wanawasaka hawa wanafunzi kwa bidii.

 
Siku hizi kumezuka mtindo wa viongozi wengi wa Kenya kumpongeza JPM na kurusha vipande vya video akitenda miujiza anuai kwenye super power Tanzania

Hii imekuwa mbinu ya viongozi wengi wa Kenya kutafuta uungwaji mkono na wapiga kura wa Kenya, sababu imebainika wakenya 99% wanachizika na uongozi wa JPM hivyo ili wanasiasa wa Kenya kujenga imani kwa wananchi wamekua wakionesha wanamkubali sana JPM na wapo nae bega kwa bega.
 
jiwe alikuwa amebana sana ...ss kaachia kabisa, beberu kaja na kilainishi mazee! 😀
 
Heheeee!!nimuonee wivu dictator mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katengezeni hili daraja kwanza...wacheni kupiga kelele...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmoja wao komora096 omora096 hili linaona wivu sana jinsi wakenya wenzake wanavyomkubali JPM
Screenshot_20191007-232810_Lite.jpeg
FB_IMG_15704801132848418.jpeg
FB_IMG_15704801181301090.jpeg
 
Unayasema wewe hayo..mm hta siko hko...naona hao jamaa wameshaopolewa, manake nynyi mko vizuri sana...
Jwtz wameshafanya yao ndani ya nusu saa[emoji122][emoji122][emoji122]
Hizo zinaitwa natural calamities hazina kinga daraja lenyewe linaonekana la siku nyingi na mvua ya Mbeya sio ya Turkana, kuna wilaya Mbeya jua wanaliona miezi miwili tu katika maisha yao mwaka mzima, siku nyingine zote ni ukungu na mvua.
 
Unayasema wewe hayo..mm hta siko hko...naona hao jamaa wameshaopolewa, manake nynyi mko vizuri sana...
Jwtz wameshafanya yao ndani ya nusu saa[emoji122][emoji122][emoji122]
Daraja lilijengwa enzi za mkoloni hilo, Mimi ninatokea eneo hilo, bahati mbaya watu wawili wamefariki na tumekwisha wazika, vipi huko yule mama, mtoto na gari lake, wamepatikana?
 
Naona hii habari unaifahamu vizuri...naskia jwtz walifika kwa haraka sna na kuopoa mili ndani ya dakika kumi?
Daraja lilijengwa enzi za mkoloni hilo, Mimi ninatokea eneo hilo, bahati mbaya watu wawili wamefariki na tumekwisha wazika, vipi huko yule mama, mtoto na gari lake, wamepatikana?
 
Nimecheka sana kwa hii hotuba ya rais Magufuli, amechomekea vikechekesho humo japo pia ni suala la kusikitisha, kwamba Watz licha ya kuwekewa mikwara ya kufungwa miaka 30 kwa anayetia mtoto mimba, hilo halijawazuia, wanawasaka hawa wanafunzi kwa bidii.




Kwa kawaida mwanadamu anapokatazwa kitu ndipo anakuwa na bidii ya kufanya hayo maovu, yaani anakuwa na hamu na kutaka kujuwa akifanya na kukamatwa nini kitatokea. Dawa ni kuwakata tu mitalimbo yao na kama mwalimu ni mwanamke anabaka mtoto mdogo wa kivulana basi kwa lazima itabidi ampe baba wa huyo mtoto gemu tena mbele na nyuma bila kondomu na kunyonya dushe.
 
Hii sheria ni kandamizi hasa kwa wanaume wa hali ya kawaida kimaisha
 
Back
Top Bottom