Basi wakenya wa jf wakiona hivi wanahara balaa πππWakenya wanazidi kukiri JPM sio binadamu wa kawaida π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmoja wao komora096 omora096 hili linaona wivu sana jinsi wakenya wenzake wanavyomkubali JPM
Hizo zinaitwa natural calamities hazina kinga daraja lenyewe linaonekana la siku nyingi na mvua ya Mbeya sio ya Turkana, kuna wilaya Mbeya jua wanaliona miezi miwili tu katika maisha yao mwaka mzima, siku nyingine zote ni ukungu na mvua.Heheeee!!nimuonee wivu dictator mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Katengezeni hili daraja kwanza...wacheni kupiga kelele...
View attachment 1226477View attachment 1226478View attachment 1226479
Hizo zinaitwa natural calamities hazina kinga daraja lenyewe linaonekana la siku nyingi na mvua ya Mbeya sio ya Turkana, kuna wilaya Mbeya jua wanaliona miezi miwili tu katika maisha yao mwaka mzima, siku nyingine zote ni ukungu na mvua.
Daraja lilijengwa enzi za mkoloni hilo, Mimi ninatokea eneo hilo, bahati mbaya watu wawili wamefariki na tumekwisha wazika, vipi huko yule mama, mtoto na gari lake, wamepatikana?Unayasema wewe hayo..mm hta siko hko...naona hao jamaa wameshaopolewa, manake nynyi mko vizuri sana...
Jwtz wameshafanya yao ndani ya nusu saa[emoji122][emoji122][emoji122]
Daraja lilijengwa enzi za mkoloni hilo, Mimi ninatokea eneo hilo, bahati mbaya watu wawili wamefariki na tumekwisha wazika, vipi huko yule mama, mtoto na gari lake, wamepatikana?
Nimecheka sana kwa hii hotuba ya rais Magufuli, amechomekea vikechekesho humo japo pia ni suala la kusikitisha, kwamba Watz licha ya kuwekewa mikwara ya kufungwa miaka 30 kwa anayetia mtoto mimba, hilo halijawazuia, wanawasaka hawa wanafunzi kwa bidii.