Agizo la Rais ni amri

Hajui halmashauri zinatofautiana rasilimali zipo zenye madini,za mpakani,zenye kilimo na zipo kame zisizo na rasilimali! Kwani kizimkazi inachangia sawa na kahama?
Kutoa fedha kulingana na mapato ni kuvuruga umoja wa nchi na nikubaguana kirasilimali...
Tusiharibiana swaumu kwamaneno mabaya yaubaguzi
 
Mambo ni mengi,kule Duniani kulikoanzishwa local Government za ukweli Ili kuepuka na tatizo la uendeshaji wa Hamashauri zinafanyiwa tathimini za gharama za kuendesha Hamashauri,yaani Mfano Ili Hamashauri ya Wllaya ijiendedhe inatakiwa iwe na mapato ya bilioni Moja na milioni mia mbili,Sasa kwa zile Hamashauri zisizoweza kukusanya kiasi hicho zinapewa ruzuki na CentralGoverrnment(equalization grants).zinazokusanya zaidi kuvuka ndizo zinapewa top up grants.kama ulivyoeleza Hamashauri zetu zimeanzishwa tu,sio independent,Zina man power hafifu,bajeti zake sio releable,hesabu zake ni za mezani,majukumu yake ni mengi na yanachanganya kwasababu vyanzo vya mapato vinatofautiana kati ya Hamashauri na Hamashauri, wizi mwingi,hizo package/mifumo ya ukusanaji mapato ni dhaifu na vulnerable kwa kuwa inaweza kuchezewa bila ya administrator kutambua.kazi bado ipo sana.
 
Nchi gani Rais wake akiwa madarakani alishtakiwa na kufungwa? Moja!
Rais Richard Nixon wa Marekani alishtakiwa katika scandal ya Watergate akalazimika kujiuzulu vinginevyo angefungwa. Mwingine ni Bill Clinton wa Marekani katika scandal ya ngono na mfanyakazi wa Ikulu Monica Lewinsky ingawa hakufungwa. Joe Biden pia alichunguzwa kwa kuwa na nyaraka za siri za Ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…