Agizo la Waziri wa Ardhi juu ya ujenzi holela wa vituo vya mafuta liliishia wapi?

Agizo la Waziri wa Ardhi juu ya ujenzi holela wa vituo vya mafuta liliishia wapi?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Wadau kama mtakumbuka Waziri Silaa alipoteuliwa tu kuwa Waziri ktk siku zake 100 za kwanza moja ya maagizo yake mazito ni hili la kuzuia ujenzi wa vituo vya mafuta nchi nzima na kuwataka makamishna wasaidizi wa mikoa kumpelekea orodha ya vituo vya mafuta vikionesha umbali toka kituo hadi kituo, kiwanja kilivyopata matumizi ya petrol station, kiwanja kama kipo kwenye makazi namna utaratibu wa kubadili matumizi ulivyofuata n.K.

Toka agizo hilo amelitoa wananchi tulitarajia kupata taarifa ya utekelezaji wa agizo lake na hatua zilizochukuliwa kwa wahusika lakini mpaka sasa ni miezi kadhaa waziri yupo kimya na ujenzi wa vituo vya mafuta unaendelea kama vile hakukuwa na katazo lolote.

Hii ndio Tanzania taifa la maagizo bila utekelezaji.

Pia soma:
 
Huwezi kujenga filling station bila kibari cha Nemc.

Nemc ifumuliwe kwanza haya mambo mengine yatakuwa rahisi kuyadhibiti, wao Nemc wanachojuwa ni kukamata pub zinazopiga mziki mkubwa usiku na kuzipiga fine, lakini majukumu yao ya msingi wanajiona kama hayawahusu.
 
Wadau kama mtakumbuka Waziri Silaa alipoteuliwa tu kuwa Waziri ktk siku zake 100 za kwanza moja ya maagizo yake mazito ni hili la kuzuia ujenzi wa vituo vya mafuta nchi nzima na kuwataka makamishna wasaidizi wa mikoa kumpelekea orodha ya vituo vya mafuta vikionesha umbali toka kituo hadi kituo, kiwanja kilivyopata matumizi ya petrol station, kiwanja kama kipo kwenye makazi namna utaratibu wa kubadili matumizi ulivyofuata n.K.

Toka agizo hilo amelitoa wananchi tulitarajia kupata taarifa ya utekelezaji wa agizo lake na hatua zilizochukuliwa kwa wahusika lakini mpaka sasa ni miezi kadhaa waziri yupo kimya na ujenzi wa vituo vya mafuta unaendelea kama vile hakukuwa na katazo lolote.

Hii ndio Tanzania taifa la maagizo bila utekelezaji.

Pia soma:
Bila shaka ni mifukoni wa tycoons wa biashara ya mafuta.
 
Back
Top Bottom