Agnes Masogange Tanzania VS Corazon Kwamboka Kenya

GTA

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
878
Reaction score
651
Nimekutana na hii battle Agnes Masogange Vs Corazon Kwamboka. Wote ni watoto warembo
Ila kura yangu na karata yangu naitupa kwa Agnes Masogange, Mtoto ni mrefu kaumbika wenye wana sema Amejaliwa. Hukisikia Laki Sio Pesa mbele ya warembo hawa.
 
Mkuu acha masihara huyo binti wa uhuru hana urembo wowote sema huo msambwanda tu ndio mashallah. In fact huku mtaani kwetu kina chakubimbi na chausiku nao kwa misambwanda tu hawapo nyuma sema wamekosa kiki na exposure tu kama za huyo mtoto wa uhuru.

All in all kwa uzuri tu Aggy is far cutter than her.
 
Sijaelewa Mnacholinganisha hapo ni nini? Uvivu wa kunya, au? Warembo mnawajua nyie?
 
Masogange mzuri sana. Huwezi kumfananisha na vitu vya hovyo, hata Davido alifaidi msambwanda.
 
daahhh..... iyo misambwanda ndio ugonjwa wangu! yani hapa nilipo haijaniacha mzima
 
Dah wife wangu anajua kua huanafunga magoli mawili tu kwa mwezi. Baada ya kuangalia hizo nyama za makalio za hao akina dada, nimejikuta nafunga goli la tatu hapa baa nikiwa nimekaa.
 
Wanatangaza 0713 zao hao wote

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…